mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,652
- 1,238
mimi ningetulia na kumuuliza taratibu ili nijue ninini hicho anachofanyiwa alafu kupitia yeye ningempa kipya kuliko hicho,unajua mapenzi yanahusisha hisia zaidi na pia yanahitaji sanaa zaidi,we need to be creative!!