Recent content by balwani

  1. balwani

    Naomba kama kuna mtu anaweza kunielekeza namna Paypal acount inavyofanya kazi

    Si kweli unapokea na mimi nimekuwa nikipokea pesa mara kwa mara, hiyo ilikuwa zamani sio sasa.
  2. balwani

    Naomba kama kuna mtu anaweza kunielekeza namna Paypal acount inavyofanya kazi

    Pesa kwa njia ya Paypal unauwezo wa kuzipokea kama kawaida kwa sasa.
  3. balwani

    Naomba kama kuna mtu anaweza kunielekeza namna Paypal acount inavyofanya kazi

    Si kweli ilikuwa zamani sasa hivi unapokea kama kawaida.
  4. balwani

    Ama kweli muosha huoshwa; niliacha mtu na kuachwa na mtu siku hiyo hiyo

    Kwa mtu asiyekuwa na ufahamu atakupokea, kwa mwenye ufahamu atakufukuza kama mbwa.
  5. balwani

    Kifaa kinachoua mbu na wadudu wote warukao

    DEAL CLOSED!!! Bidhaa zimeisha mpaka nitakapoagiza mzigo mwengine... Kwa atakayehitaji asiache kuweka oda yake kwa SMS kupitia namba yangu 0659-358599
  6. balwani

    Kifaa kinachoua mbu na wadudu wote warukao

    Kwa mifano yote hii natumai itapunguza idadi ya maswali juu ya utendaji wa hiki kifaa.
  7. balwani

    Kifaa kinachoua mbu na wadudu wote warukao

    Wasingetumia hadi kwenye mahospitali makubwa na mahoteli makubwa kama hazina kazi ya kufanya kiongozi, kama hujawahi kutumia ni bora ukae kimya kiongozi au ujaribu kutumia usikatishe tamaa wenzako.
  8. balwani

    Kifaa kinachoua mbu na wadudu wote warukao

    Kila mwenye maswali asome kwenye maelezo hapo juu utaona ufanisi wake, nimekuwa nikikitumia na kimekuwa kikifanya kazi kama kilivyoelezwa.
  9. balwani

    Kifaa kinachoua mbu na wadudu wote warukao

    K Nikikuwekea na mifano naona utanielewa zaidi
  10. balwani

    Kifaa kinachoua mbu na wadudu wote warukao

    Kinaua MBU na unapokitumia asubuhi utakuta MBU wengi wamekufa unaenda kuwamwaga.
  11. balwani

    Kifaa kinachoua mbu na wadudu wote warukao

    Kifaa cha kuulia MBU ndio jina lake na nimeelezea kinavyofanya kazi mkuu.
  12. balwani

    Kifaa kinachoua mbu na wadudu wote warukao

    Mzee baba hiyo ndio bei yake na kimebaki kimoja tu nataka niagizie mzigo mwengine.
  13. balwani

    Kifaa kinachoua mbu na wadudu wote warukao

    Umenena kiongozi
  14. balwani

    Kifaa kinachoua mbu na wadudu wote warukao

    Hiki ni kwa matumizi ya usiku tu mkuu
  15. balwani

    Dalili 10 za mwanamke msaliti

    Kama mtu anakusaliti huwezi kuacha kugundua awe mwanamke awe mwanaume, lazima kuna mabadiliko utayaona tu, hakunaga ujanja katika hilo labda awe siyo mfuatiliaji na hana time na wewe.
Back
Top Bottom