Baada ya miongo kadhaa kupitia nchi ya KIMANILWE NTEMI, ilipitia misukosuko mingi, ikiwemo rushwa, uchu wa madaraka. Hali hiyo ilisababisha nchi kukosa mwelekeo kwasababu Kila mtawala aliyekuwa anaingia sio kwajili ya kulisaidia taifa liende mbele bali kwa manufaa binafisi na kujilimbikizia Mali...
Tuition ya nyumban ni bora na salama kwa mtoto , nafundisha mathematics na physics kwa o level na advance napatikana mwanza micheki whatsapp 0620591401
Naomba Kwa mwenye uhitaji nauza simu yangu nipate hata mtaji nianzishe ujasilia Mali ni Infinix smart 6 Ina miezi kumi Toka ninunue nauza 120k wakuu make kazi zimekuwa ngumu
Ahsante mkuu nimeenda Pele pamejaa,,, Nia yangu nipate kazi yeyote tu Ile halali hata kufundisha pia kama shule ikipatikana Kwa physics na mathematics naweza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.