Recent content by Balqior

  1. B

    Kula utumbo kama ni kitu imenishinda

    Unaeza kuta mtoa mada hamaanishi utumbo kama utumbo wa kupikwa, ila watu wa jukwaa hili wameshindwa kutafsiri hii code kwa namna mbadala Mwamba 777
  2. B

    Hii ni raha jamani miaka hii

    Unaeza kuta hata ni jaji chande min -me
  3. B

    Hii ni raha jamani miaka hii

    Oyaaa njooni hii jf Ina vichaa 😂😂 Mwamba 777 min -me Poor Brain
  4. B

    Ukiweza kushinda hamu na hashki umetoboa

    Masai dada naona una utani na holoholo
  5. B

    Ukiwaona hawa wanawake njiani ni kama hawaombi hela yakanyage sasa!

    Kuombwa inategemea na mtu anaeomba, pisi hauelewi we ni nani katika maisha yake, lakini shida zake za kipesa anataka umtatulie..hapo unakula tu buyu😁 au unamsaidia tu kama ambavyo ungeweza msaidia binadamu mwingine, ila kama mwanaume kichwani unajua tu hapa sina mtu, so huweki matarajio hapo...
  6. B

    Ukiwaona hawa wanawake njiani ni kama hawaombi hela yakanyage sasa!

    Kiasili hamna mwanaume rijali na responsible, asietaka kumpa hela mwanamke anaempenda Tatizo dunia ya sasa wanawake wengi wameipa hela kipaumbele kiasi cha kutisha hadi wanaume tunaogopa, mambo ya kumuomba mwanaume wako hela yanakuja naturally yenyewe, tatizo mnaingia kwenye uhusiano na mindset...
  7. B

    Ukiwaona hawa wanawake njiani ni kama hawaombi hela yakanyage sasa!

    Kuwekeza sana kwenye uhusiano ambao ulie nae hagusi chochote, inachosha leo dada
  8. B

    Ukiwaona hawa wanawake njiani ni kama hawaombi hela yakanyage sasa!

    Ukisema huyu mdada hanitaki, uache kumtafuta kabisa kila mtu aendelee na maisha yake, zikipita wiki 2 huyoo kakucheki, na kwa vile bado unampenda na hamjagombana unamrudia kama mbwa anavyomrudia chatu huku ukijipa moyo kuwa may be kabadilika Ndo inafika stage akikuomba hela unaona huu uhusiano...
  9. B

    Ukiwaona hawa wanawake njiani ni kama hawaombi hela yakanyage sasa!

    Saa ingine mwanaume unakua na hamu ya kumpa hela mdada ambae mko kwenye talking stage, ila ukitumia akili kuwaza anavyoku treat unamnyima hela, huku moyo unasikitika unatamani umpe iyo hela, ila unajikaza tu usimpe, mdada anawaza hupendi kuombwa hela, au umemnyima makusudi kumbe sivyo..mfano...
  10. B

    Kwanini mnaoa tubinti tuzuuuuri halafu mnatuchakaza?

    Ni kwamba mume anakua Hana hela za kumpa mkewe, hivyo mkewe anachakaa au 😁 nakwede97
  11. B

    Kuna muda nahisi watoto wangu hawaijui hali halisi ya maisha naogopa wakija kuyajua ukubwani bila uangalizi watajifunza kwa maumivu na aibu

    Unaeza Kuta mtoa mada ni graduate ambae ni unemployed yuko sebleni kwa ndugu yake na kiboksa anapost humu jf, mtu mwenye maisha hayo Hana mda wa ku-post humu jf 😁 RRONDO
  12. B

    Natafuta mke wa kuoa

    Mmh napenda iyo michezo ila kwa mke hapana, naona ntamuharibu, hayo mambo ntafanya na michepuko.. Ila kwa dunia ilivoharibika sasa, mume unaeza muheshimu mke, ila unaeza shangaa mke anatamani kufanyiwa hivyo, ila anashindwa akwambieje, akichepuka na muhuni watu wanamla kisamvu Mwamba 777
  13. B

    Natafuta mke wa kuoa

    anasbo Mzee wa kupambania The only granitized ndo wakufunzi wa hio michezo, baada ya tarehe 29 oct mzee wa kupambania na mzabzab sijawaona tena humu jf Mwamba 777
  14. B

    Uongozi wa Shule ya Pugu mmefeli sana kumuweka Mpoki kuwa mgeni rasmi wa mahafali yenu

    Heri wangemwalika niffer akawe mgeni rasmi Lamomy
Back
Top Bottom