Kuna kitabu kiliandikwa na mdada wa marekani anaitwa Baje Fletcher, hicho kitabu kinaitwa "Goaldigger's guide how to get what you want from men without giving it up" kwenye hicho kitabu alifundisha wadada njia za kupata pesa toka kwa mwanaume usiempenda bila kutoa papuchi , hii factor inapinga...
Tunavolalamika kuwa wanawake mnapenda sana pesa, sio kwamba sisi wanaume hatutaki kuwapa wanawake wetu pesa, au tunataka kukimbia majukumu. Tunapenda sana kuwapa hela.
Ishu ni kwamba kibinadamu, mwanaume ukijua mwanamke uliye naye yuko na wewe kwenye mahusiano kwasababu una pesa, na sio...
Naona sababu zinazomkumba huyo jamaa yako ni hizi, anakutana na wadada chuma ulete wanaomuomba sana hela hivyo anaamua kukimbia, au anatongoza halafu anakua kama amekubaliwa, ila papuchi hapewi Mwizukulu mgikuru
Wewe ni mtu wa tatu kusema Ivo, Sijajua kwanini inakuaga ivyo, mwanaume kwenye miaka 18-23 unapata pisi zinazokupenda kweli, juu ya hapo, miaka 25-hadi uzee kupata demu anaekupenda ni ngumu, sijui wanaume tukifika miaka 25,26,27,28 tunazeeka kimuonekano Vishu Mtata
Acha kulia lia tafuta hela, hivyo vijisenti ulivyotoa ndo unataka kumtoa navyo mtu roho, ungekuwa mwanaume halafu utoe hela, na papuchi usipewe, si ungeua Leejay49
Hahaa nafikiri umejisikia sehemu ndogo ya maumivu ambayo wanaume tunajisikia kwenye swala la mapenzi, tukiwa tuna-deal na wanawake kwenye maswala ya hela Leejay49
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.