Recent content by Balqior

  1. Balqior

    Mwanaume ambaye hana pesa asioe

    Kuna kitabu kiliandikwa na mdada wa marekani anaitwa Baje Fletcher, hicho kitabu kinaitwa "Goaldigger's guide how to get what you want from men without giving it up" kwenye hicho kitabu alifundisha wadada njia za kupata pesa toka kwa mwanaume usiempenda bila kutoa papuchi , hii factor inapinga...
  2. Balqior

    Mwanaume ambaye hana pesa asioe

    Tunavolalamika kuwa wanawake mnapenda sana pesa, sio kwamba sisi wanaume hatutaki kuwapa wanawake wetu pesa, au tunataka kukimbia majukumu. Tunapenda sana kuwapa hela. Ishu ni kwamba kibinadamu, mwanaume ukijua mwanamke uliye naye yuko na wewe kwenye mahusiano kwasababu una pesa, na sio...
  3. Balqior

    Mwanaume ambaye hana pesa asioe

    Wanawake inatakiwa watupendee muonekano, ndo mahusiano yatanoga Jadda
  4. Balqior

    Umri wa miaka 36 ndoa imekuwa ngumu

    Hata mwanaume aliekuvutia kimapenzi na unampenda, utamuomba elf 3? princess ariana
  5. Balqior

    Umri wa miaka 36 ndoa imekuwa ngumu

    Naona sababu zinazomkumba huyo jamaa yako ni hizi, anakutana na wadada chuma ulete wanaomuomba sana hela hivyo anaamua kukimbia, au anatongoza halafu anakua kama amekubaliwa, ila papuchi hapewi Mwizukulu mgikuru
  6. Balqior

    UZI MAALUMU: Wanawake wote ambao wana msongo wa mawazo kwa sababu ya kutoolewa mkutane hapa

    Tatizo wanaume wenye nia ya kukuoa wewe huwapendi Mzigua90
  7. Balqior

    UZI MAALUMU: Wanawake wote ambao wana msongo wa mawazo kwa sababu ya kutoolewa mkutane hapa

    Huyo shangazi unaesema hakua na bahati ya kupata wanaume, si kweli, ni kwamba alikuwa anawakataa wanaume waliokuwa na nia ya kumuoa The mission 2017
  8. Balqior

    Ukweli mchungu ila ubachelor unawafaa zaidi Vijana waliojipata, wapambanaji na wanaojielewa

    Wewe ni mtu wa tatu kusema Ivo, Sijajua kwanini inakuaga ivyo, mwanaume kwenye miaka 18-23 unapata pisi zinazokupenda kweli, juu ya hapo, miaka 25-hadi uzee kupata demu anaekupenda ni ngumu, sijui wanaume tukifika miaka 25,26,27,28 tunazeeka kimuonekano Vishu Mtata
  9. Balqior

    Wafungwa Wanawake wapatiwe tendo la ndoa?

    Mzabazab apewe tenda kwenye hayo magereza ya wanawake
  10. Balqior

    Naombeni mwaliko wa kesho

    Nikiwa hapa gheto namsubiria unique flower aje
  11. Balqior

    Sijui kwanini nimeumia hivi

    Hahaa how does it feel kuwa used kipesa😁 kumbe wadada na nyinyi mnaumiaga mkichunwa hela, ndo mjue wanaume tunavojisikiaga sasa Missy Gf
  12. Balqior

    Sijui kwanini nimeumia hivi

    Binafsi nimefurahi. Sikujua kumbe na nyie wanawake mnaumiaga mkifanywa chuma ulete. Mwanaume akija kulalamika humu kafanywa chuma ulete na mdada, mnamponda mwanaume kuwa hana hela, wanaume wa jf tunanalalamika sana, tunakimbia majukumu, tule kwa jasho etc , mnamtetea mdada aliemchuna uyo...
  13. Balqior

    Sijui kwanini nimeumia hivi

    Acha kulia lia tafuta hela, hivyo vijisenti ulivyotoa ndo unataka kumtoa navyo mtu roho, ungekuwa mwanaume halafu utoe hela, na papuchi usipewe, si ungeua Leejay49
  14. Balqior

    Sijui kwanini nimeumia hivi

    Hahaa nafikiri umejisikia sehemu ndogo ya maumivu ambayo wanaume tunajisikia kwenye swala la mapenzi, tukiwa tuna-deal na wanawake kwenye maswala ya hela Leejay49
  15. Balqior

    Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Demu anaetoa jicho anakua na story za aina gani, ili nimjue The only
Back
Top Bottom