Siku izi wanaume wengi mara wawe mashoga, mara wa date mishangazi, mara wakiombwa elf 20 kwenye talking stage wakimbie, mara watake kujiattach na royal families, mara hawana hela maana zamani mshahara mmoja wa mume unalea mme mke na watoto, Leo wote mna mshahara ila bado shoo shoo.
Responsible...
Saa ingine sio kalogwa ni mapenzi, ni kama sisi tunavowasomesha chuo, kuwanunulia magari, nyumba n.k mnakua mmetuloga?
Unakuta mdada kapata mwanaume ambae ni type yake kabisa, ataacha kutoa hela..shida wadada wengi wanatongozwa na wanaume wenye muonekano mbovu/sio type zao ndo maana wanaonekana...
Sasa mfano me uwezo wangu ni kukuhudumia vitu vyenye thamani ya elf 70 kwa mwezi, kwahiyo akija mwenye uwezo wa kukuhudumia vya 150,000 unaniacha realMamy
Haha royal families wanawazaga huyu mtu kaoa/kaolewa kwetu sababu ya hela tulizo nazo, mtoa mada anafikiri royal families huwa hawa-reason mambo kinondoniilala
The so called familia za kishua wengi wao sio wajinga, hua wanawaza huyu mtu kaoa/kaolewa kwetu sababu ya mali tulizo nazo, hata kama kiuhalisia umeingia kwenye ndoa sababu ya upendo
Mgonga ulimbo ujiandae kukumbana na yatakayokukuta baada ya kuingia kwenye the so called royal families leo dada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.