Kinachosababisha wanawake kuwa used ni sisi wanaume, tunavopiga na kuacha makusudi, hao tunaowaacha nani awaoe?, wanaume wote tukiamua kufunga zipu hadi ndoa, bikra tutakutana nazo sana tu Natafuta Ajira
Sijasema wanaume wote Wana fall for wrong type of women ila wengi tunafall for wrong type of women.
Ipo hivyo sababu hatumshirikishi Mungu na Kuna ile nature ya unaempenda hakupendi, usiempenda ndo anakupenda.
Percent ya wanawake wanaoingia insta siijui, ila hata wewe angalia kwenye circle...
Siku izi wanaume wengi mara wawe mashoga, mara wa date mishangazi, mara wakiombwa elf 20 kwenye talking stage wakimbie, mara watake kujiattach na royal families, mara hawana hela maana zamani mshahara mmoja wa mume unalea mme mke na watoto, Leo wote mna mshahara ila bado shoo shoo.
Responsible...
Saa ingine sio kalogwa ni mapenzi, ni kama sisi tunavowasomesha chuo, kuwanunulia magari, nyumba n.k mnakua mmetuloga?
Unakuta mdada kapata mwanaume ambae ni type yake kabisa, ataacha kutoa hela..shida wadada wengi wanatongozwa na wanaume wenye muonekano mbovu/sio type zao ndo maana wanaonekana...
Sasa mfano me uwezo wangu ni kukuhudumia vitu vyenye thamani ya elf 70 kwa mwezi, kwahiyo akija mwenye uwezo wa kukuhudumia vya 150,000 unaniacha realMamy
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.