Recent content by Balqior

  1. B

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Kuna waliooa wanawake used, ndoa zao zina amani Kuna waliooa bikra wakachemka, hao tuwazungumzieje au ndo ile exceptions doesn't make a rule
  2. B

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Kinachosababisha wanawake kuwa used ni sisi wanaume, tunavopiga na kuacha makusudi, hao tunaowaacha nani awaoe?, wanaume wote tukiamua kufunga zipu hadi ndoa, bikra tutakutana nazo sana tu Natafuta Ajira
  3. B

    JamiiForums Tanzania Kudumisha mahusiano na mwanamke asie na hela ni gharama zaidi ya kununua

    Sijasema wanaume wote Wana fall for wrong type of women ila wengi tunafall for wrong type of women. Ipo hivyo sababu hatumshirikishi Mungu na Kuna ile nature ya unaempenda hakupendi, usiempenda ndo anakupenda. Percent ya wanawake wanaoingia insta siijui, ila hata wewe angalia kwenye circle...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Mdogo wangu Eeh! Kuoa mwanamke ambaye familia yake imekuzidi kila kitu ni mtihani sana. Usithubutu!

    Imekuaje mpaka leo Regina mengi hajaolewa 🤔 leo dada ShesRise_1 Kelsea
  5. B

    JamiiForums Tanzania Wanaume unaweza kudate na mwanamke above 25 years ambaye hana kazi wala chochote anachojishughulisha nacho?

    Siku izi wanaume wengi mara wawe mashoga, mara wa date mishangazi, mara wakiombwa elf 20 kwenye talking stage wakimbie, mara watake kujiattach na royal families, mara hawana hela maana zamani mshahara mmoja wa mume unalea mme mke na watoto, Leo wote mna mshahara ila bado shoo shoo. Responsible...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Hivi Wanawake Mkizama Penzini Akili Huwa Mnaziweka Wapi?

    Nimesema Ukweli mchungu ndo maana unanikejeli ila message sent, ephen_
  7. B

    JamiiForums Tanzania Hivi Wanawake Mkizama Penzini Akili Huwa Mnaziweka Wapi?

    Saa ingine sio kalogwa ni mapenzi, ni kama sisi tunavowasomesha chuo, kuwanunulia magari, nyumba n.k mnakua mmetuloga? Unakuta mdada kapata mwanaume ambae ni type yake kabisa, ataacha kutoa hela..shida wadada wengi wanatongozwa na wanaume wenye muonekano mbovu/sio type zao ndo maana wanaonekana...
  8. B

    JamiiForums Tanzania JF Houseparty

    Hii pary ikiwepo nina mashaka Kuna mtu atachezea hogo la unyabeni BICHWA KOMWE - DIVISHENI FOO
  9. B

    JamiiForums Tanzania Kwa wanawake: Nifanye nini ili uweze kukubali kuwa mpenzi wangu

    Sasa mfano me uwezo wangu ni kukuhudumia vitu vyenye thamani ya elf 70 kwa mwezi, kwahiyo akija mwenye uwezo wa kukuhudumia vya 150,000 unaniacha realMamy
  10. B

    JamiiForums Tanzania Kwa wanawake: Nifanye nini ili uweze kukubali kuwa mpenzi wangu

    Niwe na uwezo wa kukuhudumia Tsh ngapi kwa mwezi realMamy
  11. B

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa mwanamke unapoimarika waweza hatarisha ndoa?

    Kuna baadhi ya wadada wanasema wangekua wanaume wangekua single, sababu wao kutoa hela kwa mtu asiyewadai inawauma sana 😂 leo dada
  12. B

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa mwanamke unapoimarika waweza hatarisha ndoa?

    Kuwapata hao wanawake sasa ndo kamzozo Rico redi
  13. B

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa mwanamke unapoimarika waweza hatarisha ndoa?

    Huu uzi naogopa sana natafuta ajira akiuona Natafuta Ajira
  14. B

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa mwanamke unapoimarika waweza hatarisha ndoa?

    Tangu mwanzo shida ilikua hapa, sema ni vile mke alikua na shida ya kiuchumi, hakua na option Didododi
  15. B

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    Mmh hao watakua ni ma freemason, wamepewa masharti na majini, wadada wenye makalio mazuri wanaotoa tigo wamejaa tele mjini, inakuaje utoe USD 10,000 ukale tigo ya mwanaume mwenzio, hai-make sense kinondoniilala
Back
Top Bottom