Recent content by Balqior

  1. B

    JamiiForums Tanzania Hijabu haina maana, tamaa ya wanaume wengi ni makalio, matiti na sura

    Umewaza nlichowaza 🤗 Seran
  2. B

    JamiiForums Tanzania Arusha: Askari Polisi apigwa kama Mbwa koko

    BICHWA KOMWE - DIVISHENI FOO BRAZA CHOGO
  3. B

    JamiiForums Tanzania Mwanamke Asset na Mwanamke Liability

    Hapa uko sawa Saint Anne
  4. B

    JamiiForums Tanzania Mwanamke Asset na Mwanamke Liability

    Hao wanaume wengi wao they're simply ignorant kuhusu female nature, kama wanaume wa zamani walivokuwa ignorant, Wana miradi ya wao kumudu kuendesha familia na wanafikiri kuchunwa ndio kupendwa. We unadhani wanaume wa zamani wengi walioaje, ilikua mtu akiombwa hiki anatoa, kile anatoa...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Mwanamke Asset na Mwanamke Liability

    Half american Christine_1 Missy Gf Hziyech22 Kuna baadhi wadada ni pisi balaa, ila amegonga 30+ hana mume wala mahusiano ya maana, unaeza dhani kalogwa au ana jini mahaba, kumbe sio ukichunguza unakuta yuko single sababu ya tabia yake ya kupiga vizinga wanaume, wanaume wanaishia kumkimbia 🙄
  6. B

    JamiiForums Tanzania Mwanamke Asset na Mwanamke Liability

    Kwahiyo sio kwamba unatoa sababu inatoka moyoni, unatoa ili yeye aje akupe zaidi Sasa hayo ni mapenzi au biashara 🤔 Saint Anne
  7. B

    JamiiForums Tanzania Dalili za mwanaume maskini ni hizi

    Kuhudumia sio shida, ntaanzisha uzi ni attach comment za wadada nlizoziona TikTok kuhusu wao kuhudumiwa, dada yangu izo comments zinatisha, ungekua mwanaume ukaziona izo comments utaapa kutohudumia tena leo dada
  8. B

    JamiiForums Tanzania Dalili za mwanaume maskini ni hizi

    Tatizo hamna guarantee kama mwanamke hakupendi ni hakupendi tu, hata mkipewa ivyo vyote haisaidii kuimarisha penzi la kweli, sana sana kidume utapewa miuno feki na affection feki, ili uendelee kutoboka Dr. Mariposa
  9. B

    JamiiForums Tanzania Dalili za mwanaume maskini ni hizi

    Shida ni kuwa hata mwanaume ukiwa na izo pesa hamna guarantee kua huyo mwanamke unaemfanyia hayo yote anakupenda na kukuthamini leo dada
  10. B

    JamiiForums Tanzania Gesi jana ililipuka wakati napika, nimenusurika!

    Hali mbaya, wanaume wengi hatuna hela ya kuoa 😁 Seran win-one
  11. B

    JamiiForums Tanzania Gesi jana ililipuka wakati napika, nimenusurika!

    Miaka 29 yote sidhani kama hukuwahi pata mwanaume hata mmoja alieonesha nia ya kukuoa Olivia olivia
  12. B

    JamiiForums Tanzania Utamu wa wakubwa!!

    Hivi jf hamna option ya ku block usione post za mtu
  13. B

    JamiiForums Tanzania Nani unamwona kama Great Thinker hapa JF?

    Analyst na Umughaka ndo ma great thinkers wa jf
  14. B

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano wa kijana wa mjini asiye na pesa katika zama hizi kumiliki mwanamke mzuri

    Ndio inawezekana, kama huyo mwanamke husika atavutiwa na muonekano wako Yoda
Back
Top Bottom