Recent content by Balozi23

  1. B

    Diamond Plutnumz atangaza Mimba ya Zari thebosslady Rasmi

    Umeongea ukwel aisee,na mm naona dogo hajakosea wala hakosei anachokifanya coz ni game tu la kusaka pesa ili muda wake ukipita atabaki kuheshimika kwa pesa na maisha bora...mzik bila ujanja ujanja utaishia sifa za kijinga kama kk Mr.N
  2. B

    Diamond Plutnumz atangaza Mimba ya Zari thebosslady Rasmi

    Chibu kawashka watu akili,yy sio mjinga kupost vle na anachoangalia yy sio kuzaa na Zari hapana,yy anafocus kumek pesa yy pamoja na uongoz wake,na anayepost sio yy ni uongoz wake,wenyewe wanajua jinc wanavyopga pesa kupitia majungu ya raia na matuc,dimond bado dogo sana itafika wakat atatulia na...
  3. B

    Mnawachukuliaje watu wa GNLD na Forever Living Products?

    Nilishawah kwenda moja ya mikutano ya GNLD nilimkuta mpangaji mmoja wa bi mkubwa akitoa ushuhuda kwamba GNLD imemsaidia kuishi kwenye nyumba yake mwenyewe na kumiliki gari zuri wakat ile ki ukweli jamaa sijawah kumuona akimiliki ata pikipiki ni mwendo wa kubanana asubuh kwa daladala tu kama...
  4. B

    Kwanini siku hizi Bar hazina watu?

    Hhahahahahahahaa kuna kaukweli ndani yake
  5. B

    Kwanini siku hizi Bar hazina watu?

    Bia za dukani tamu zaidi ya zile za bar,ni hayo tu
  6. B

    Sitta: Warioba amejitakia mwenyewe

    To be honesty story imetungwa,sorry kwa hilo
  7. B

    Tabia za wazungu

    Wana nyota ya kushobokewa na wabongo
  8. B

    Bryan: Jina linalopendwa zaidi mwaka 2013/14 Tanzania

    Kazi kweli kweli,Ila kuna raia kibao wanaitwa hilo jina lakin mambo yao tofaut kabisa
Back
Top Bottom