Back in 1997 kuna binti nilizama nae katka penzi kijijini huko nikawa namvizia zizini akiwa anakamua ng'ombe mimi nampanga maana kuonana ilikua mbinde!sasa kuna siku akanipanga kwenda kula utelezi nikaiba baiskeli ya mzee,kufika kumbe kuna wambea washachoma si nikakamatwa na bro zake, aisee...
sijakasirika mkuu ila nimejiuliza tu maswali,laki 3,2,au 5 ni mshahara wa mtu anaetunza familia halafu kuna watu wanaitoa kwa bao moja,too sad,sad indeed!
Hivi laki moja kuna watu wanaichukulia kama buku au?yaani bao moja laki ~laki 5 kweli?....wenye pesa hawana ujinga wa kiwango hiki kutoa laki ~laki 5 eti kisa ngenya utakua unapgwa pesa yako ya urithi mkuu,acha kuona wanaume tuna undezi huo na hudhuria kikao cha mwisho wa mwaka!
Hapa itategemea kama ndugu wa mkeo wana roho za namna gani,otherwise hapo pashakua darfur maana ukioa ndo utajua kwanini ndege hawalimi lakini wanaishi!....hata na ivo kusikia kwa kenge mpaka damu imtoke!
Hicho kibwagizo cha "wasukuma"ukome kututaja...oyaga gete!!hata na ivo maisha ni mafupi sana so ukipata wasaa wa kufanya jambo fanya kwa ufanisi!obheja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.