fikra kwa kutumia mgongo ni hatari kiza kinene kimetanda kama ngozi zetu zilivyo madampo yetu ni free size kila aina ya takataka inaingia na kufti vizuri kabsa
wakati anaanza kumtaka kimapenzi ilikuwa mwaka jana mwezi wa tisa ,lkn baada ya hapo ilnibidi nimwambie amweleze mama yake ,na hata alpo fanya hivyo walkaa na wakaongea lakn jambo la ajabu haukupita muda mrefu akawa ameanza tena vitendo kama hivyo lakni baada ya hapo mpenzi wangu alkuwa...
Ninampenzi wangu ambae nimedumu nae kwa takribani miaka miwili sasa na tumesha panga mikakati yetu ya kuoana.
Llakini jambo la ajabu baba yake anamtaka kimapenzi na jambo la ajabu anampa mpaka vitisho na kumtumia mesegi za ajabu za kimapenzi na kila meseji anayomtumia ananifowadia namimi...
mimi ni kijana wa miaka 25 ni mwanachuo wa stella maris mtwara university mwaka wa pili natafuta rafiki wa kike ambaye nitakua nabadilishana nae mawazo katika changamoto mbalimbali za maisha Mawasiliano yangu ni 0783351829
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.