Recent content by Balejr

  1. Balejr

    Mimi ni mlizi, leo siku vizuri kiafya sasa bosi wangu alinikuta nimelala akanipiga picha na kuweka kwenye group

    Mimi nafanya kazi ya ulinzi Siku ya Leo sikua vizuri nilikuwa najisika vibaya kiongozi alinikuta nimemlala nakunipga picha mi nachojua ukikutwa nakisa kama ilo unakatwa pesa lakini Cha kunishangaza amefungua group wasap nakupost picha yangu je ni sahihi Ii wakuu?
  2. Balejr

    Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu na kutopekea simu na text, leo asubuhi kanicheki na kuniambia mtoto tumbon amemiss chips na mtoli

    Jamani mpenzi wangu baada ya kukaa kimya leo asubuhi kanicheki na kuniomba radhi na kusema kuwa sem hakuwa nay dada yake alimuazima ili aende kupiga picha kwenye shughuli ndio maana alikuwa kimya Nikamuuliza kwani dad yake akumachia simu yake nayey akasema dada yake hana simu pia badae...
  3. Balejr

    Story: Msichana mrembo niliyetokea kumpenda aliyetoka mjini kuja kwetu kijijini - Part 1

    Ilikuwa siku nzuri. Nilikuwa nikitoka Dar kurudi kwetu kijijini kutokana na ugumu wa maisha ya jiji, na mimi nilikuwa sijajipanga kifedha, hivyo maisha yalinishinda ikanibidi nirudi kijijini. Nilipofika kijijini, marafiki zangu walinipokea kwa furaha. Ilikuwa kama siku mbili au tatu, nikaanza...
  4. Balejr

    Mpenzi wangu hopokei simu zangu

    Daah alafu nilikuwa nishawaambia marafiki zana na baadhi ya ndugu zang kama natarajia kupata mtoto...,, ananiumiza sana
  5. Balejr

    Mpenzi wangu hopokei simu zangu

    Jamani, naombeni ushauri. Mchumba wangu aliniambia ana ujauzito, na sasa imekuwa kama wiki ya pili tangu alivyoniambia hivyo. Nikamnunulia simu kubwa, lakini kwa takribani wiki mbili sasa hapokei simu zangu. Sasa hivi nikimpigia, simu inakatika. Nifanyeje wakuu?
Back
Top Bottom