Wakati niko chuo kuna mdada alikuwa anaenda gym. Huyo mdada ni rafiki ake na mdada wa next door Katika hostel nayokaa. Asa siku hiyo alikuwa kavaa jersey yake ya arsenal ila akaja akanambia hajisikii kuvaa hiyo koz haiko comfortable anaomba nimuazime jersey yangu ya litimu langu nalikubali...
Sometimes me huwa nahisi ni kweli kuwa asilimia kubwa ya watu humu jf ni wako katika position nzuri kiuchumi ila si wote kwa sababu jamii ya wafu wa jf wako tofauti. Kwa maoni yangu ni kuwa ukiwa great thinker basi lazima uwe problem solver na kufikiria jinsi ya kutunisha mfuko wako
Mf. Zero IQ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.