Recent content by Bakuli la mboga ya baba

  1. Bakuli la mboga ya baba

    Lindi: Askari afutwa kazi na Jeshi la Polisi kwa kumpiga risasi mwenzake wakiwa lindo

    Ndio watulinde sisi hawa akati wao wenyewe wameshindwa kulindana
  2. Bakuli la mboga ya baba

    Hivi kwanini Wabongo hawana amsha amsha?

    Hii maneno ni kama inaflow hv
  3. Bakuli la mboga ya baba

    Hivi kwanini starehe nyingi ni dhambi?

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  4. Bakuli la mboga ya baba

    Je, ulishawahi kuletewa pigo sizo na wageni wako? Weka mkasa wako, yangu hii hapa

    Kweli mkuu kuchukua bila ruhusa ndio hutokea mtu unaudhi watu
  5. Bakuli la mboga ya baba

    Je, ulishawahi kuletewa pigo sizo na wageni wako? Weka mkasa wako, yangu hii hapa

    Wakati niko chuo kuna mdada alikuwa anaenda gym. Huyo mdada ni rafiki ake na mdada wa next door Katika hostel nayokaa. Asa siku hiyo alikuwa kavaa jersey yake ya arsenal ila akaja akanambia hajisikii kuvaa hiyo koz haiko comfortable anaomba nimuazime jersey yangu ya litimu langu nalikubali...
  6. Bakuli la mboga ya baba

    Radi yapiga wapenzi wakizini

    Inaonekana mwanamke alikuwa juu
  7. Bakuli la mboga ya baba

    Ulianzaje Kutafuta Maisha?

    Sometimes me huwa nahisi ni kweli kuwa asilimia kubwa ya watu humu jf ni wako katika position nzuri kiuchumi ila si wote kwa sababu jamii ya wafu wa jf wako tofauti. Kwa maoni yangu ni kuwa ukiwa great thinker basi lazima uwe problem solver na kufikiria jinsi ya kutunisha mfuko wako Mf. Zero IQ...
Back
Top Bottom