dodoma saivi ni jiji ko dar tunaita mkoani now,,,,,afu dar kuna shdaaa tena saaaaaaanaaa narudia tena kuna taabu sio ndogoo ,,, kwanza jiji lenyewe tuu linakera full jam kero za majirani kwa sababu karibia dar nzma naweza sema ni uswazi sababu ya msongamano wa makazi 😂😂😂 hakuna pa kupumulia...