Recent content by bakishuu

  1. B

    Arusha Stadium kufurika 30/5/2015, Ni mkutano wa hadhara wa Lowassa

    Ulinzi ni hali ya juu kabisa....mbwa wa kunusa zaidi ya 20...mbwa wa kawaida utadhani mbuzi hawana hesabu....farasi kama ulaya magari ya washa nimeona mawili... Land cruiser za polisi kama 60 zimamoto zote za kia ...arusha airport...manispaa zitakuwepo..semi trailler za bakhressa 30 za soda...
  2. B

    Masikini Sitta, Mwakyembe, Kinana, Nape n.k.

    Ukisikia game iliyochezwa na kina Chenge utabaki mdomo wazi....kuanzia uspika wa mzee sita kwenye mabunge yote,mjadala kuhusu richmond na mzee bila kujuwa game akajiingiza na baadhi ya watu wake na sasa wanamalizika ki siasa kabisa.Wabunge wengi ni Team Lowassa...mawaziri ni wachache saana maana...
  3. B

    Ukitaka kujua Lowassa chaguo la Mungu kaulize basi za Arusha leo na kesho

    Wangapi watajiondoa kwa kuona umati utakao hudhuria hiyo kesho panapo majaaliwa yake Mwenyezimungu.Hivi Mzee Sita na Waziri Mkuu bado wapo uwanjani...????Wengine kwa maoni yangu wanatumia mbio za u rais kujitoa ki aina kwenye ubunge kwani wanajuwa fika hawatachaguliwa.Jamani huko UKAWA moto...
  4. B

    Arusha Stadium kufurika 30/5/2015, Ni mkutano wa hadhara wa Lowassa

    Ningekuwa DC au Mwenezi nami ningekwenda
  5. B

    Prof. Mark Mwandosya sasa ni wakati wa Watanzania kumtizama, Huyu ndiye jiwe walilolikataa waashi

    Yule mbuge alisema Ikulu siyo wodi ya wagonjwa.....jamaa yule ana ueledi wa kipekee na huoigiwa makofu bungeni
  6. B

    Nitazungumza na Watanzania kuomba ridhaa ya kuwania Urais

    Nilikuwa sijui hayo,naona huyu na yule wa kondoa damdam...yule haongei na Mbwa bali anaongea na mwenye mbwa.Wa kondoa mukimrudisha yule bwana mtaonekana ni viumbe wa ajabu "Alliens".Body language yake inajieleza vizuri kabisa. Mwingulu anao uwezo wa kujirudi na kurekebisha ya nyuma lakini...
  7. B

    CV ya Ritta Kabati

    Mimi binafsi naona kuna kazi zinafanywa na hawa Auction Marts hazina uhalali..ni uonevu na dhuluma kwa mwanadamu mwenzake.Hayo ni yangu kama mimi tu.
  8. B

    CV ya Ritta Kabati

    Majembe Auction Mart......disqualifies her
  9. B

    Ridhiwani Kikwete ampigia Membe kampeni bungeni

    Membe yupo Bungeni anaongea vizuri saana anatoa vijembe naye anapewa live ya ARK kesho na wazenji
  10. B

    Natamani kuwa Mkenya

    Umeona eeeeeh. Basi kuna umeme wa Geothermo weeeh acha tu.
  11. B

    Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 2)

    Faiza .......nilikuwa nanukuu Breaking News kutoka Mwananchi kuhusu kuapishwa Rais wa Nigeria yaani makabidhiano ni salaama na tuombe kwetu pia yawe salaama ie ccm to ukawa au ccm to ccm ndiyo maana nikasema come oktomba 25th.For your info Rais wa Kenya alivunja safari ya kwenda nigeria dakika...
  12. B

    Mkoa wa Kagera upo gizani, Siku ya tatu bila Umeme

    Hivi Mama Tiba atagombea tena....???
  13. B

    Rais ajaye awe na sifa zifuatazo

    Wako team Jk wanahamia team EL iki wapate u waziri na wengine wanakwenda team Ukawa na watapata uwaziri.
Back
Top Bottom