Wadau kwema?! Km title inavyojieleza kuna mzee amestaafu anatak nimp hela kidogo aniachie corola 90 yake....vp kwa wenye uzoefu na hiv vigar vinaendesheka?!
Mkuu hapo cha kufanya ni jutuliza akili...sex inaend san na psycholojia....epuka kutumia vitu au vyakula kwa kujiaminisha vitakusaidia coz cku ukikosa utashindwa kbsa sabb ya woga......jitahid kujizuia na kuhamish mawaz pind unapokaribia kumwag
Tatizo ni maandalizi....tendo la ndoa linahitaj maandaliz na maridhiano baina ya wahusika....km mmoj wapo hayupo psychological well kufany hilo tendo hakun kitachofanyika...jaribu kukaa na kumuuliz kwann hapnd ....pengin humuandai ipasavyo hivyo anaumia na ndo maan hatak ....jitahd kumuandaaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.