Tunachotaka c kupewa fedha na serekali kuendesha mahakama, bali tunachotaka ni kutambulika kikatiba ili pale tunapohukumiana kesi zetu kama vile, mirathi, talaka, ndoa na usia, isiwe tena mtu akienda mahakama za mwanzo ukumu hiyo iwe ni batili kwa sababu haipo kikatiba.
Tatizo sio mahakama...