Recent content by bakalan

  1. B

    Uislamu Siyo Kilema, Waislamu acheni kulia lia Tunapowakosoa

    Mi sipendi wanapowaita wakristo makafiri!
  2. B

    Can you imagine a life without music?

    Inatokana na shetan!👹👹👹👹👹
  3. B

    Jinsi Hezbollah inavyoitembezea kichapo Israel kimyakimya

    Israel ni taifa na lazima lifuate Sheria za kivita bali gaidi Hana taifa na hakuna Sheria inayombana coz yeye ni mtuhumiwa kwa Kila taifa, so Yuko free kufanya chochote. Kwahiyo siyo kirahisi kama unavyofikiri.
  4. B

    Wanawake wengi huwa hawafiki kilelei wakati wa kufanya tendo la ndoa

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  5. B

    Ziara za Lissu hazina Tija na matokeo Chanya kwa CHADEMA

    Huo ndo ustadi wa mafunzo yenyewe mkuu!🤣🤣🤣🤣🤣
  6. B

    Baadhi ya Mawaziri Serikali ya Awamu ya Sita wamekuwa na Utajiri wa ghafla usio kifani

    Umesahau kuwa ruksa ilitoka kwa kila mtu ale kulingana na urefu kamba yake mkuu? Kama kamba Yako ni fupi pambana mpaka ikatike. CCM OYEEEEEEE!
  7. B

    Ziara za Lissu hazina Tija na matokeo Chanya kwa CHADEMA

    Hiki ni kipindi sahihi cha PROPAGANDA, na Sasa hivi humu wako wengi waliotoka kwenye mafumzo ya propaganda, labda ukiwemo na wewe. So endelea kumpaka mama Yako mafuta coz bila yeye hata haya mafumzo usingeyapata. Kwa ujumla Mimi nimekuelewa coz hii ndo kazi Yako na bila kufanya hivi ugali hupati!
  8. B

    Mkuu wa Wilaya ya Ubungo adhamiria kutokomeza biashara ya ukahaba

    Ewaaaaa! Msaidieni muheshimiwa kumpa mbinu sababu hajui hata anachokifanya.
  9. B

    PreGE2025 Singida: Tundu Lissu adai kufuatiliwa na Watu wasiojulikana

    Kwan wameanza kumuwinda tena?🦌
  10. B

    Kanisa Katoliki mnazingua, michango imekuwa kero

    We mtoa mada na wengine shauri yenu. Siku ya kifo chenu katekista atavuta kwanza fail lako la zaka kuchek kuwa ulikuwa unaipa michango vzur au la, kama liko vbaya padri hatokuja kukuzika! Utazikwa kama mbwaa!🤣🤣🤣🤣🤣
  11. B

    Tetemeko dogo la ardhi limepita Moshi majira ya saa 7:21 mchana

    Madini na tetemeko kuna uhusiano gan mkuu?
  12. B

    GE2020 Tumalize ubishi; Uchaguzi wa Rais 2020, CCM ilichapika au haikuchapika?

    Yaani nyie mshuru sana nguvu ya katiba inayowalinda, mngekuwa mshasahaulika duniani siku nyingi.
  13. B

    Kwanini kila anayeondoka CHADEMA anamtaja Mbowe?

    Sanaaaaa! Mpaka chama kiingie madarakani.
Back
Top Bottom