Jamani mpaka napata kiungulia
Hapo awali nilikuwa nagonga ngoma mpaka naona kama siwezi kuja kufa,
Now bass ya subwoofer yangu inalia kama inamafua yaani kama inachanika yaani inakwaruza balaa kuna mda mpaka inanyamaza kabisa, haipigi tena deep bass, ni bass tu yakawaida inalia, utadhani...
Kaka mshana nijibu komenti yangu na mimi nijisikie, maana mastaa hawataki kujibu komenti, sijasema wewe sio staa, wewe ni nyota kaka.
Jamani mganga wa watu hadi huruma,
Ila ndo akome sasa tutafenyeje, jua na mwezi vyote vinaandama.
Habar wanajukwaa.
Naomba kufahamishwa
Mtu akiwa kapoteza fahamu yaani kazirai ama kazimia. Je, muda huo anavyokuwa katika hali hiyo fahamu zake huwa zimeenda(zimepotelea) wapi?
Shukrani.
Habari za saa wakuu.
Nauliza kwa unyenyekevu kabisa .
Kwa nini mnasema Djs Wa bongo Beatmaching inawashinda ???
Inamaana hawawezi kuset BPM ??
au hawawezi kusoma wave??
au Wave zinadanganya au ??
Sasa ni nini kinachowafanya washindwe ??
Na kwa nini wengine waweze ??
Wakati wote wamesomea ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.