Recent content by Bajuda

  1. Bajuda

    JamiiForums Tanzania Fanya haya kuifanya sound system yako idumu kwa muda mrefu

    Haijachanika
  2. Bajuda

    JamiiForums Tanzania Fanya haya kuifanya sound system yako idumu kwa muda mrefu

    Jamani mpaka napata kiungulia Hapo awali nilikuwa nagonga ngoma mpaka naona kama siwezi kuja kufa, Now bass ya subwoofer yangu inalia kama inamafua yaani kama inachanika yaani inakwaruza balaa kuna mda mpaka inanyamaza kabisa, haipigi tena deep bass, ni bass tu yakawaida inalia, utadhani...
  3. Bajuda

    JamiiForums Tanzania Jinsi Nilivyomtapeli Mganga wa Kienyeji: Simulizi ya "Mjanja Aliyekutana na Mwerevu"

    Kaka mshana nijibu komenti yangu na mimi nijisikie, maana mastaa hawataki kujibu komenti, sijasema wewe sio staa, wewe ni nyota kaka. Jamani mganga wa watu hadi huruma, Ila ndo akome sasa tutafenyeje, jua na mwezi vyote vinaandama.
  4. Bajuda

    JamiiForums Tanzania Je, Kuondoka kwa B-Dozen & Mchomvu kumeathiri kipindi cha XXL?

    ni kipindi cha rodio kaka.
  5. Bajuda

    JamiiForums Tanzania Je, Kuondoka kwa B-Dozen & Mchomvu kumeathiri kipindi cha XXL?

    Nipo eksi eksi elo kwa sababu ya Dj Zero, ODG na POWER MIXER.
  6. Bajuda

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Habari ndugu. Naomba ule wimbo flaani hivi kaimba mwanamke. Unasema JANA USIKU NILIOTA NDOTO DUNIA NZIMA IMEWAKA MOTO JUA ILINYESHA NA MVUA IKAWAKA.
  7. Bajuda

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Hivi Mungu hakuwa na njia nyingine ya kutuondoa duniani zaidi ya kifo?

    Jamani nyie mi staki.
  8. Bajuda

    JamiiForums Tanzania Playlist ya kiume. Nyimbo za kiume kwa wanaume

    Heshma yako mkuu. Umetisha sanaaaaaaa Wadau wengine waige mfan wako Mkuu kama unazo zingine zidondosheeeeeee
  9. Bajuda

    JamiiForums Tanzania Mtu anapopoteza fahamu anakuwa wapi?

    Habar wanajukwaa. Naomba kufahamishwa Mtu akiwa kapoteza fahamu yaani kazirai ama kazimia. Je, muda huo anavyokuwa katika hali hiyo fahamu zake huwa zimeenda(zimepotelea) wapi? Shukrani.
  10. Bajuda

    JamiiForums Tanzania Ufahamu uchawi wa Sigil

    Konyola said upo wap?
  11. Bajuda

    JamiiForums Tanzania Ufahamu uchawi wa Sigil

    kaka kwema? unaendeleaje jamaa? mimi pia ni mhanga.
  12. Bajuda

    JamiiForums Tanzania Top 3 ya Ma-DJ wako wakali ni ipi?

    #Times9
  13. Bajuda

    JamiiForums Tanzania Top 3 ya Ma-DJ wako wakali ni ipi?

    Habari za saa wakuu. Nauliza kwa unyenyekevu kabisa . Kwa nini mnasema Djs Wa bongo Beatmaching inawashinda ??? Inamaana hawawezi kuset BPM ?? au hawawezi kusoma wave?? au Wave zinadanganya au ?? Sasa ni nini kinachowafanya washindwe ?? Na kwa nini wengine waweze ?? Wakati wote wamesomea ...
Back
Top Bottom