Binafsi mambo ya nchi kiuendeshaji yakiharibika nitalia na mzee KIKWETE kwakuwa ndiye mzee pekee tuliyebakia nae mwenyeuzoefu wa kuendesha nchi.
Halafu nitamshangaa sana endapo atakaa pembeni kusubiri mambo yaharibike ndio ajitokeze.
Naongelea uendeshaji wa nchi.
MAGUFULI4LIFE.
Mtaalam wa sayansi anakula kwenye sahani moja na Kiongozi mkuu wa serikali!!
1. Ni nini kilichowaunganisha?
2. Ni nini kitakachoendelea kuwaunganisha?.
3. Kwanini hawaamini tena kwenye wingi ama umoja?
👁️
MAGUFULI4LIFE.
Kwenye mapenzi kupungua hapo naona haiko sawa. Mwanaume yeyote baada ya kuoa huwa tunajikuta tumekuwa watawala kiasili hivyo sitaweza kumfanyia kama nilivyokuwa namfanyia wakati namfukuzia.
Kama ni makosa basi niyakiuumbaji kuhakikisha miji tuliyoianzisha inaishi kwa utulivu na usalama. Hayo...
Hata kama mimi ningekuwa mshauri namba moja wa serikali ,hili swala lingefanyika tu. Kwa cheo kweli ni Rais lakini haimuondolei kuwa ni mtoto wa kike kama walivyo wengine.
MAGUFULI4LIFE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.