Recent content by Bajaji87

  1. B

    Watanzania ni wanafiki Vs Diamond Platinumz

    😂😂😂 hivi lowassa wakati anakuja chadema na kupewa chance ya kugombea nafasi ya Urais alikuwa kijana? 😁😁 embu acheni mtu afanye anachokitaka bhana mkiongea maneno sijui ya uzee mnaonekana mmeumia kuondoka kwake maana alikuja Chadema akiwa mzee hivi hivo angefukuzwa basi kwa uzee wake
  2. B

    Watanzania ni wanafiki Vs Diamond Platinumz

    Kuna siku iliombwa nyimbo ya KATIKA Clouds FM nikashangaa ikapigwa nyimbo nyingine kabisaa nikapata uhakika Kweli kuna bifu kubwa sana
  3. B

    Sijapima, ila kwa hizi dalili nafikiri mwanamke niliyekuwa nimepanga kumuoa kaniambukiza virusi vya UKIMWI

    Nimepima ila ugonjwa hauonekani Mimi nilikuwa najua ni malaria lakini hamna japo nimepima na mengineyo
  4. B

    Sijapima, ila kwa hizi dalili nafikiri mwanamke niliyekuwa nimepanga kumuoa kaniambukiza virusi vya UKIMWI

    😂 imenikumba hali kama hii naumwa sana mwili unauma kichwa na miguu ndio usiseme nilianza na kupima ngoma Mara Negative nimepima Malaria hamna nimepima UTI Hamna Presha hamna Sukari ipo normal typhoid hamna sasa ndugu zangu nitumie kitu gani
  5. B

    Ufafanuzi wa jumla kuhusu vidonda vya tumbo

    Pm ya nini wewe wizi huo 😂😂😂
  6. B

    Ni jinsi gani ya kutambua hela bandia kwa urahisi?

    Nilikuwa sijui ila Leo nimejua itatokea mtu anionige.
  7. B

    Funga mwaka na KING KIBA VIP 400,000/=(laki nne)

    Sitaacha kusema Ukweli Kuwa Alikiba Umebakia Ushabiki tu yani time yake imepita wee bisha tu ila moyoni inakuchoma 😂😂😂
  8. B

    Kwa mujibu wa maoni ya waganga hapa Sumbawanga, kuanguka kwa Dïamond ni ishara ya kuzikwa nyota kichawi

    Hearsay Evidence Is Admissible...kwamba inasemekana sio unauhakika na hilo jambo ndio maana kusheria ushaidi wa kusikia jambo kwa Fulani haukubaliki
  9. B

    Funga mwaka na KING KIBA VIP 400,000/=(laki nne)

    Kiukweli Kiba kwishney umebakia ushabiki tu na mapenzi kwa mtu Fulani 😂😂😂 ila kiukweli habari ya tz sasa hivi ........MCHEZO HUU HUSIUCHEZEE WEEE Kimtazamo Kabisa niache unafiki KIBA umebaki ushabiki ni sawa na wale watu wanaosemaga ukimuweka Fulani na Jiwe nitachagua jiwe ila ukweli wanao moyoni
  10. B

    Kwa mujibu wa maoni ya waganga hapa Sumbawanga, kuanguka kwa Dïamond ni ishara ya kuzikwa nyota kichawi

    Katika maisha yangu napendaga neno hili LIVE UR LIFE Kama Mondi Anatumia uchawi kwenye maisha yake ya mziki anajua yeye na Mungu wake na atahukumiwa na Mungu Wake.... No evidence No Right To Talk...... Quid Pro Quo 😂😂
  11. B

    Mapokezi ya Diamond Platnumz Mombasa ni kufuru

    Kama ipo ipo tu aaaah sasa hivi ni time yake wacha afanye yake
  12. B

    Hivi Magufuli ana mpango wa kutawala nchi hii maisha yake yote yaliyobaki?

    Msemaji wa ikulu 😁😁😁 msubiri ajibu utasubiri milele
Back
Top Bottom