😂😂😂 hivi lowassa wakati anakuja chadema na kupewa chance ya kugombea nafasi ya Urais alikuwa kijana? 😁😁 embu acheni mtu afanye anachokitaka bhana mkiongea maneno sijui ya uzee mnaonekana mmeumia kuondoka kwake maana alikuja Chadema akiwa mzee hivi hivo angefukuzwa basi kwa uzee wake
😂 imenikumba hali kama hii naumwa sana mwili unauma kichwa na miguu ndio usiseme nilianza na kupima ngoma Mara Negative nimepima Malaria hamna nimepima UTI Hamna Presha hamna Sukari ipo normal typhoid hamna sasa ndugu zangu nitumie kitu gani
Kiukweli Kiba kwishney umebakia ushabiki tu na mapenzi kwa mtu Fulani 😂😂😂 ila kiukweli habari ya tz sasa hivi ........MCHEZO HUU HUSIUCHEZEE WEEE
Kimtazamo Kabisa niache unafiki KIBA umebaki ushabiki ni sawa na wale watu wanaosemaga ukimuweka Fulani na Jiwe nitachagua jiwe ila ukweli wanao moyoni
Katika maisha yangu napendaga neno hili LIVE UR LIFE Kama Mondi Anatumia uchawi kwenye maisha yake ya mziki anajua yeye na Mungu wake na atahukumiwa na Mungu Wake....
No evidence No Right To Talk......
Quid Pro Quo 😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.