Recent content by baina_k

  1. baina_k

    Lema, Mbunge anayekitia chama hasara

    Ndoto ni ndoto tu haimchagui raisi au mgambo. Cha msingi hapo ni siasa za gambo zinafanya kazi. Nothing else
  2. baina_k

    Lema, Mbunge anayekitia chama hasara

    Lema hana hatia yoyote. Ndoto sio kosa. Kwani wewe ukiota baba au mama yako amekufa ukamwambia anakuchukia? Kuweni waelewa. Baada serikali ishugulikie waathirika wa matetemeko wanaangaika na ndoto?
  3. baina_k

    Huyu Presenter wa Clouds hana maadili

    Lakini msiwalaumu watangazaji wa clouds waliowengi shule hawana hata ilo joo hawajawai kulishika. Wanaliona kwenye Tv. Clouds wanaamini kwenye vipaji na si elimu. Wengi ni form four. Wakulaumiwa ni boss wao.
  4. baina_k

    Nauza simu 300k

    Ilete kariakoo
  5. baina_k

    Natafuta mke mtarajiwa

    All the best
  6. baina_k

    Looking for my soulmate

    Yani hapo hupati mtu humu
  7. baina_k

    Natafuta mchumba wa kiume

    Hakika Mimi ndiye
  8. baina_k

    Natafuta mchumba "mke wa kuoa"

    Mimi Nina miaka 32 naishi Dsm ni mwajiliwa selikalini natafuta binti kuanzia miaka 25-30. Awe mwajiliwa pia elimu yake kuanzia stashahada na kuendelea pia awe mkristo. Napenda sana mwanamke mweye mawazo ya maendeleo. **** upo anifuate inbox. Seriously.
Back
Top Bottom