Mimi nilipotaka kuoa niliweka vigezo vyangu kimojawapo ni awe mweusi, nilipenda sana wanawake weusi. Lakini akili ilipopevuka sikuangalia tena vile vigezo, cha msingi nilichowaza ni TABIA. Nikapata unaosema mweupe, mfupi, mnene kiasi na ni mtu wa mkoa ambao sikutaka kuoa mwanzoni. Hadi leo...