Wamefanya mahusiano ni kama sehemu moja wapo ya kujipatia ridhiki ila tu utofauti wa hawa wanao jifafanya so called wapo ki true love na wale wa red light street ni kwamba hawa wananegotiate na wale wana price tag tu
Pesa haiwezi kununua mapenzi hata siku moja, ukitaka kuamini hili muangalie Bill Gates, Harloid Hamm, Bill Gross, Steve Wynn, Jeff Bezos... Wote hao ni top wanao itikisa dunia kwa pesa
Kama ndo hivyo si bora mtu uende kwenye massage centers au night clubs tu, hapo unajua unatumia pesa yako kihalali, kuliko kuingia kwenye mahusiano ya kiunyonyaji
Kikao cha wanaume kimeisha salama jana..
Kwa wale ambao hamkuweza kuhudhuria, kamati ya pesa na mahitaji tulitoa mapendekezo mapya..
Marejeo ya sheria ya kutohonga, kifungu cha 12, kilichokuwa kikisema hairuhusiwi kumpa hela mwanamke ambaye hujamuoa wala hujazaa nae..
Labda kwa shida maalum...
Upo sahihi, lkn sababu ya muungano hauoni ni nzito....ni kama ndoa Maana Tanganyika na Zanzibar ni kama mume na mke, je mume hapaswi kumfaham zaidi mke wake?
Tafadhali sheikh Said, heb tuelezee kwanini wazanzibari hawakudai uhuru kutoka utawala wa Sultan
Kwahiyo hilo V8 limekutoa povu, Mbona hauongelei Yale ma V8 yanayo nunuliwa kwa Kodi za wananchi yanayo kabidhiwa kwa wanakijani ambao wana jiona wenye haki na nchi zaidi kuliko watu wote kule Dodoma??!
Na sio Kila mtu ana mindset ya greed kama yako chawa wa kijani ya kupata madaraka kuhudhuria...
Hoja yako ni nini hapa ya maana??!! vyakula vya wananchi, mke wa lissu au maisha ya Lissu???
Cha maana hapo ni labda kuhusu wananchi hawajui watakula nini jioni, ambayo yote husababishwa na katiba mbovu iliopo ya CCM, inayopelekea kupanda bei ya vyakula hovyo.
Hoja sio Mheshimiwa Raisi, bali ni katiba mpya itakayo toa mfumo mzuri unao eleweka na kumuelekeza kiongozi yeyote aingiae madarakani muelekeo mmoja wa kufuata mfumo mmoja, na sio kufuata mifumo binafsi tofauti ya yeyote aingiae madarakani kama Miungu watu, hayo yote uliyo yataja hapo juu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.