Recent content by baharia Ar

  1. baharia Ar

    The New York Times: Tanzanian leader sacks Spy Chief ahead of polls

    Magu Hana pakutokea amebanwa ile mbaya
  2. baharia Ar

    Idara ya maji Arusha muwe na adabu

    Asilimia 99% ya jiji la Arusha hakuna maji.na walisema ni mpaka mwez wa 10
  3. baharia Ar

    Uchaguzi wa mitaa ni utapeli mtupu

    Mahakama kwa kweli imekuwa dampo la waiz wa katiba
  4. baharia Ar

    Uchaguzi wa mitaa ni utapeli mtupu

    Ukimsusia panya kumwekea sumu sio kwamba yy atakususia kutafuna chupi zako.utajikuta unatembea matako wazi.tutumie akili zetu vizur zinaweza kutuvusha kukata tamaa ni dhambi
  5. baharia Ar

    Uchaguzi wa mitaa ni utapeli mtupu

    Fyeken nanyie mtaja fyekwa coz hakuna jiwe litakalo salia juu ya jiwe.nuswala la muda tu
  6. baharia Ar

    Idara ya maji Arusha muwe na adabu

    Leo zaidi ya wiki jiji la Arusha hatuna maji sijui mnahisi tutaishije,nasikia ni mpaka mwezi wa kumi,mmetuona sie ni ngamia au? Na bili za maji zinasoma kama kawaida. Acheni uzamani bwana muwe mnakua, au mpaka tubebe ndoo tuje hapo idarani?
  7. baharia Ar

    Uchaguzi wa mitaa ni utapeli mtupu

    Yaani Waziri wa Tamisemi ndio mkuu wa uchaguzi? Nashauri wanaharakati wapenda haki twendeni Mahakamani tukazuie uchaguzi huu unaokwenda kumwaga damu za watu,kwakuwa tume huru iko Mahakamani sasa ni muda uchaguzi huu wa Serikali mitaa ukazuiwe Mahakaman hadi pale utakapokuwa huru. Plz wasomi...
  8. baharia Ar

    Uongozi wa CHADEMA Taifa unaisha muda wake siku ya Ijmaa tarehe 14.09. 2019

    Mnaumwa nyinyi.mnajitekenya mnacheka
  9. baharia Ar

    Mbowe: Ni vema baadhi yetu tuondoke lakini tulikomboe Taifa, lazima tutoke na Maamuzi Magumu

    Ngoja Kenyatta atoboe duru lapili ndio utajua kamati kuu inamaanisha nn now jizibe ubongo kama Ccm wabungen
  10. baharia Ar

    Lowassa na Sumaye mlikuwa wapi wakati mikataba ya madini inapitishwa?

    Ccm Ni adui ukiwa Ccm unakuwa mfu chomoka huko ili ufufuke
  11. baharia Ar

    RIPOTI MAALUMU: Hiki ndicho kiini cha mauaji Pwani

    Walicho kipanda ndicho wanakivuna.nabado wanaendekea kukipanda kila kona ya nchi
  12. baharia Ar

    Lowassa na Sumaye mlikuwa wapi wakati mikataba ya madini inapitishwa?

    Unajitoa ufahamu.tatizo Ni mfumo wa Ccm unalazimisha kuunga mkono kwa %100 hatakama kunakero zitaje badae Unga mkono hoja .ukicheza Nje yahapo utatekwa
Back
Top Bottom