Majina ya watumishi wa Umma walioteuliwa kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa-2019

Hao watumishi 184 watasimamia uchaguzi nchi nzima au ni kwenye wilaya moja tu...!!
 
Kwahiyo tamisemi ndo NEC ujinga kweli hivi Tanzania kuna wasomi kweli?

Alafu utashangaa vijana machizi wanakuja humu jf kujaza saver tu hapa na utumbo wao mara ooh Lissu, Nape, Kinana shame on you Tanzanians
Samahani, kama vile sijakuelewa. Ongezea nyama kidogo.
 
ok,kwa hiyo uchaguzi huu hausimamiwi na this so called NEC??,why NEC wasipewe madaraka ya kuajiri watumishi wao kuanzia taifani hadi ngazi ya mtaa na kuwa ndio wasimamizi wa chaguzi hizi?but never mind nimeshiriki uchaguzi mmoja tu na will never again vote,and after all hakuna uchaguzi may be tusubirie beyond 2025(kama nitakuwa hai itakuwa ni bonsai kubwa from MWENYEZI MUNGU)
Hausimamiwi na NEC. Unasimamiwa na TAMISEMI.
 
Kazuiliwa mkurugenzi wanachukuliwa wakuu wa idara na wameandaliwa kuakikisha ccm inashinda.

Hakuna haja ya uchaguzi, tunapoteza pesa za walipa kodi bure.
 
Heri asimamie shetani anawezatenda haki kuliko Mwl wa kitanzania. Pamoja na manyanyaso wanaopata walimu lakini ukiwaona wanavyosaidia chama twawala kuiba kura huwezi amini kama kweli huyu ni mwl!!!!
 
Si mlisema wakurugenzi wasisimamie uchaguzi,sasa ombi lenu limetekelezwa mnapiga kelele tena, sasa mnataka iweje kwa mfano !!

Tunataka wabunge wa ccm ndio wasimamie huo uchaguzi. Uzuri watu wanaojitambua hawatajitokeza kupiga kura kwenye huo ushenzi wa mtu mweusi.
 
Usipo piga kura usilalamike .''Wewe mwenye bucha ukimuachia munyama fisi bucha aichunge akiila yote atakuongezea kicheko cha shibe yake''

Ni kweli, tena mkitaka mchukue na watoto wenu makapige kura ili mkashibe vizuri. Kama ni kulalamika tumeshalalamika sana, na bado tukaishia kupata vilema kwa vipigo tena vinavyoratibiwa na jeshi la polisi. Hatuna muda wa kusimama kwenye jua kisha kura zetu wapewe ccm, na kisha ukienda mahakamani jaji anasema anaogopa kuleta mgogoro wa kikatiba.

Tumewaachia na goli wazi kabisa kila mtu afunge kisha mshangilie wenyewe, ila hamna mtu mwenye akili timamu na anayejua ushindani atashiriki huo ushenzi.
 
Back
Top Bottom