Utaratibu WA wakristo ni tofuati kwasababu wao kufunga hakubadilishi ratiba zao na utaratibu wao WA maisha thus why
Huwez kumuona mkristo anajitangaza kafunga kafunga
Huyo ndio alie kufanya uwe hivyo Sasa. Ange kupa huduma bora usinge toboa usinge kuwa na hasira za maisha wenda nawe unge kuwa kama watoto wake kwasababu nao wange amin baba yupo
Shida ndio zitamua njia gani tutumie kujinasua.
Ni wakati nchi za Africa kuungana Katika uchumi unao chumu ilikuleta tija kwa mataifa ya Africa ikiwemo Tanzania 🇹🇿 yangu
Biashara ni kwa wenywe akili tu
Biashara Lengo lake kubwa ni kufanya pesa isipotee Lakin iwe inazaa
Wewe mwenye Milion 100
Ambae ujawekeza na alie wekeza baada ya iyo miaka miwili yeye atakuwa anakitu ww huna
Kwa mtazamo wako huko vijijin unakojinasibu ume fika je uwiano wa wenye TV na redio ume wahi kuangalia?
Hivyo vibanda umiza vinatosha kufeed demand ya wanakijiji wote?? Huja fika vijijin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.