Recent content by BAHARI J

  1. BAHARI J

    Hivi Wakristo hawana futari ya Kwaresma, mbona hawafuturishi?

    Utaratibu WA wakristo ni tofuati kwasababu wao kufunga hakubadilishi ratiba zao na utaratibu wao WA maisha thus why Huwez kumuona mkristo anajitangaza kafunga kafunga
  2. BAHARI J

    Unaweza kuwasaidia ndugu waliokukataa

    Huyo ndio alie kufanya uwe hivyo Sasa. Ange kupa huduma bora usinge toboa usinge kuwa na hasira za maisha wenda nawe unge kuwa kama watoto wake kwasababu nao wange amin baba yupo
  3. BAHARI J

    Kimeumana, nimemuweza huyu binti

    Mwenzio anapiga wine 🍷 ili akija akupe yote akiwa full vibe we una kimbilia kurejesha muamala 🤣🤣 High lisk pay
  4. BAHARI J

    Naomba Connection ya kupata Wauzaji wa vioo vya simu kwa jumla kwa bei nzuri

    Mimi na tafuta kioo cha sumsung s20+ Na s 10+ Mwenye nacho aje na bei
  5. BAHARI J

    USAID yatangaza kusitisha misaada nje ya nchi

    Shida ndio zitamua njia gani tutumie kujinasua. Ni wakati nchi za Africa kuungana Katika uchumi unao chumu ilikuleta tija kwa mataifa ya Africa ikiwemo Tanzania 🇹🇿 yangu
  6. BAHARI J

    Mwanamke yupi sahihi kati ya hawa wawili? USHAURI WAKO NI MUHIMU

    Ata tukishauri tusha jua unataka kumuoa huyu wa pili kisa wa moto kitandan na anamatako makubwa Oa tuu
  7. BAHARI J

    Akili gani hii mtu ananunua costa milion 100 kwa ajili ya kupewa laki 1 kwa siku

    Biashara ni kwa wenywe akili tu Biashara Lengo lake kubwa ni kufanya pesa isipotee Lakin iwe inazaa Wewe mwenye Milion 100 Ambae ujawekeza na alie wekeza baada ya iyo miaka miwili yeye atakuwa anakitu ww huna
  8. BAHARI J

    Kuna watu kwa enzi hizi bado wanasikiliza mpira kupitia redio?

    Kwa mtazamo wako huko vijijin unakojinasibu ume fika je uwiano wa wenye TV na redio ume wahi kuangalia? Hivyo vibanda umiza vinatosha kufeed demand ya wanakijiji wote?? Huja fika vijijin
  9. BAHARI J

    Umewahi kuishi kijiji gani chenye jina la kipekee?

    Matombo Morogoro Igingiranyi iringa Mtombaji Morogoro
  10. BAHARI J

    Tunaposema Hakuna Marefu yasiyo na Ncha muwe Mnaelewa, Mwenzio akinyolewa wewe Tia Maji

    CCM ni kweli ime chokwa na watu Lakin hawaon mbadala wake, Hakuna Chama cha upinzan kinacho wapa matarajio watu. Ndio maana wanaona bora kubaki na CCM
Back
Top Bottom