Recent content by BAHARI J

  1. BAHARI J

    Yanga yaiandkia CAF kupinga matokeo ya Nusu fainali ya CAFCL kutokana na kukataliwa kwa Goli lao kwa Administrative error & match fixing allegations

    Matokeo ya mpira hayabatilishw Ata kama mpira unge kuwa kona na refa ange nyoosha Kati Kitakacho fuata ni6adhabu tuu kwa wa husika Lakin goli lipo pale pale
  2. BAHARI J

    Hayati Magufuli kukataa kufanya tathmini ya mazingira bwawa la Nyerere, sasa Rufiji inazama, serikali ifanye tathmini ya mazingira sasa

    Rufiji Basin Development Authority Kama mtu anajua madhumun ya hii kitu hawezi kuongea mashuduu kukosoa maamuzi ya ujenz wa ilo bwawa Kuna mabadiliko ya tabia za nchi mwaka huu mvua nyingi na inatazamiwa kuisha mwez wa 5 Mafuriko rufiji ni kama pombe na mlevi ni tangu kale
  3. BAHARI J

    Computer4Sale HP Laptop for sale

    Milion NNE laki Tatu 🤣🤣🤣
  4. BAHARI J

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mechi kuhimu
  5. BAHARI J

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mechi muhimu
  6. BAHARI J

    Submeter Suluhisho la wamiliki na wapangaji Wa nyumba

    Huwez Sasa na swali LA muhimu kwann akataze?? , by the way akikataa huna namna ya kufanya mana hii sub
  7. BAHARI J

    Submeter Suluhisho la wamiliki na wapangaji Wa nyumba

    Hapo Unatakiwa uwe na mbili au wao wabaki na sub mita wew ubaki na mita kuu yani wao ndio wa tumie iyo su
  8. BAHARI J

    FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

    Sa sa si muwafunge kelele za nini?? 😃
  9. BAHARI J

    Maji kuisha kwenye tank bila kutumiwa

    Non return valves au reflux valve hii kazi yake ni kuruusu maji kwenye uelekeo mmoja tuuu yasi rud nyuma Huwa Zina kufa Lakin so kama iliwekwa wenda ime kufa mana Kuna za spring na gate za spring zile spring huwa Zina zinguaga after time
  10. BAHARI J

    Maji kuisha kwenye tank bila kutumiwa

    Sio kila fundi anachemka ni wenda ume kutana na watu wasio waelevu katika mfumo ya maji Maji kupotea Ina tegemea cha kwanza fund anatakiwa aelewe mfumo uliopo kwenye system yako ya maji Ki kawaida kabisa pipe inayo Peleka maji kwenye tent (inlet) inakuwa tofaut na inayo toa (outlet) na hii...
  11. BAHARI J

    Waislam wanapofunga, wanafanya kile ambacho biblia imesema na hakifanywi na wafungaji wa kikristo

    Rarueni mioyo yenu wala si mavazi yenu tuna tofaut kubwa sana wakati wa kufunga wakristo huwasikiii wakipita ujitangaza nime funga nime funga, Hatubadiri Hata iyo ratiba ya chakula huwa ni Ile Ile hatuna hizo futari futari kama wengine hi ndio sababu Kama Kuna mtu kakunyima chakula ni yey...
Back
Top Bottom