Recent content by Bagabuje

  1. Bagabuje

    Nashauri tuwe na serikali tusiwe na vyama

    Uko sahihi ndugu yangu. Tulikosea mwanzoni tulipo rudisha nchi yetu katika mfumo wa vyama vingi, Ingawa viongozi wa chama tawala wa wakati huo walikubali mfumo wa vyama vingi urudi, lakini walitumia nguvu nyingi sana kuupaka kinyesi na kuwaaminisha wananchi kuwa vyama vya upinzani ni chanzo cha...
  2. Bagabuje

    Zitto, utasaliti nchi yako mpaka lini?

    Umemaliza vizuri ndungu yangu Chikawe Jr (NCHI NI MUHIMU KULIKO MWANASIASA MAARUFU) Lakini asilimia kubwa ya andiko lako linaonesha limejaa povu la unafiki badala ya kujibu hoja za Zito kwa facts. Nitamuona Zito ni Mwanasiasa wa ajabu kama ametudanganya. Lakini nikichekesho na aibu kubwa kwa...
  3. Bagabuje

    Mgomo kwa watumishi wa umma ni suluhu dhidi ya Magufuli

    Ha ha ha ha a a a ! ! ! !, Si uoga ndugu yangu. Watu hawataki kushangazwa tu. Kwa hali ilvyo nchini kwasasa, watu wame kaa standby we goma alafu JPM atangaze nafasi za kuziba pengo lako uone WAZALENDO WATAKAVYO KUUNGA MKONO teh! teh! teh! ! ! !, si-una wakumbuka wale Madaktari wa kizalendo wa...
  4. Bagabuje

    Hili nimelithibitisha jana:wanasiasa vigeugeu.

    Mimi nina mtazamo tofauti kidogo kuhusu hili. Sioni sababu ya kulalamika juu ya mshahara kupanda ama kutopanda. kwauelewa wangu haijawahi tokea Mshahara wa mwisho wa mwezi ukamtosha mtu, hata ukipanda kwa kiasi gani. Nadhani hiki ni kipindi kizuri sana kwa Wafanyakazi wa nchi hii kujifunza...
  5. Bagabuje

    Mtatiro J, haya matusi sasa....

    Teh! teh! teh! Ukweli una UuuuMaaaa!!!! najisikia ViBaya....!!!
  6. Bagabuje

    VIDEO: Semina elekezi Kuhusu Uzalendo,"(Kwa Wanaojua Kizungu Tu!)"

    Hahahaaaa!!!!!!!!! Hapa nimwendo wa kukaa kimya tu. Ujumbe ni mtamu kwa upande mmoja lakini kwa upande wa watawala unaweza itwa mchochezi. Not to that extent. Ha!! ha!! haa!!!!!!!!!!!!!!
  7. Bagabuje

    Wasomi wahoji uzalendo wa Lissu

    Upepo unaonesha teuzi nyingi za bwana mkubwa ni kwa watu wa aina yake. Hivyo yuko kwenye mawindo makali ya kuwa mteule wa bwana mkubwa.
  8. Bagabuje

    Bingwa wa Zanzibar kuwakilisha Tanzania katika michuano ya kombe la CAF Confederation

    Kwanini bingwa wa Tanganyika aiwakilishe Tanzania kwenye Michuani ya vilabu bingwa Afrika??? kwanini isiwe bingwa wa Zanzibar???, Vimetumika vigezo gani????? Kwa mtanzamo wangu bingwa wa Tanganyika ama Zanzibar hastahili kuiwakilisha Tanzania. Kunahitajika bingwa wa Tanzania na si-vinginevyo...
  9. Bagabuje

    Sikubaliani na Tundu Lissu katika hili...

    Inasikitisha mjadala umejaa hofu ya nchi kunyimwa misaada wakati Lisu ameongea mengi yanayo hitaji kufuatiliwa ili wananchi tuufahamu ukweli. Suala la kuendesha nchi kwa misaada ni la kulionea aibu na si lakujivunia hata kidogo, hivyo halipaswi kutupotezea muda. Kuna mambo ambayo yame kwepwa...
  10. Bagabuje

    Hadi sasa sijaona cha kumpongeza Magufuli

    Tuache kujidanganya Watanzania, Nchi changa maana yake nini????? Tukubaliane tu kuwa Nchi yetu ime DUMAA haina Uchanga wowote.
  11. Bagabuje

    Kinachosababisha wanafunzi maskini kukatisha zaidi masomo vyuo vikuu

    Mh! Hii riport ni ya DUNIANI, AFRIKA ama TANZANIA ?? Umenipoteza kabisaaaaa. Ingawa kichwa kinasema KINACHO SABABISHA lakini sijaona ulipo kitaja hicho kinacho sababisha. Labda itaendelea sikunyingine.
  12. Bagabuje

    Kila mwanaCCM kapungukiwa na hili.

    Nianze kwa ku declare kuwa sina mahaba na upande wowote wa kisiasa (kati ya watawala CCM na wapinzani wa aina yoyote) Mleta Mada naona huwatendei haki hao watu, Ingawa umeandika kuwa hayo ni mapungufu yao, lakini nikisoma between the lines naona mawazo yako hayana Uzalendo, wala huoneshi kuwa...
  13. Bagabuje

    Naombeni msaada tena ,,Napendwa sana na mademu/wanawake wabaya kwa sura

    Mbaya yukoje mkuu, hakuna aliye mzuri ama mbaya zaidi ya mwingine. ni mitazamo yetu tu ndo iletayo utofauti. Rekebisha mtazamo na utagundua una papatikiwa a warembo wa kiwango hako.
  14. Bagabuje

    Rais Dkt. Magufuli na Serikali yako haraka sana imulikeni BBC idhaa ya Kiswahili

    Sasa nimeamini kuwa wewe jamaa ni KILAZA. Povu limekutoka kwamba wanatoa habari zenye mambo mabaya anayo sema/fanya Dr Magu. Mimi nilidhani wana msingizia. Nimejaribu kusoma maelezo yako hadi mwisho sijaona sehemu unayoelezea kuwa yanayo tolewa na BBC ni uongo. Sasa kwa muktadha huo kwanini BBC...
Back
Top Bottom