Habari wanajukwaa, nahitaji msaada wa kujua kama vitabu vya mtaala mpya 2019 vilivyochapishwa na taasisi ya elimu hasa vya shule ya msingi, je vilishatoka? Na kama vilishatoka naweza kuvipata wapi namanisha duka gani hapa Dar vinaweza patikana! Msaada tafadhari
Kama kichwa cha habri kilivyojirleza hapo juu,anahitajika mwalimu Jinsia KE Kwa ajili ya kuwafundisha watoto.taasisi iko mkoa Wa mbeya wilaya ya mbarali Chimala. Kwa mawasiliano zaidi 0756752369
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wapendwa katika bwana,poleni Na majukumu,niende kwenye mada kuu jaman naomba kujua makato ya tra yakoje kwa mwajiriwa mwenye kiwango cha mshahara Wa 570,000/ tafadhar wataalam nisaidien maana naona nakatwa hela nyingi bila kujua
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru,nimekuelewa japo nilifikir kuna muda pengine wakagongana wawili hadi watano imean wakapata the same max in all subject hapo wataamuaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Sorry wanajukwaa naomba kufahamu eti ni vigezo gani hutumika kumpata Tanzania One kwa upande wa kitaaluma, iwe Form Four au Six.
Msaada tafadhali, nataka nimalize ubishi kuna watu tulikuwa tunapishana kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana jf ni matumaini yangu mu wazima Wa afya.niende kwenye mada husika,Mimi ni kijana Wa makamo Niko njombe wilaya ya makete,wiki tatu zilizo pita wez walivamia nyumbani kwangu Na kuiba pikipiki.ombi langu ni kwamba kama Kuna mtu yeyote anaemfaham Mganga Wa jadi tafadhar nisaidieni nimechoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.