Njoo na mapendekezo kama kweli uchumi umeyumba. Unafikiri kila mtu akipost unavyofanya wewe tutakuza uchumi? Umesema mlifukuza wafanyakaz (sio rais aliyewafukuza) mmewatafutia mbadala gani?
Kwa muonekano na presentation ya yeriko nyerere imedhihiridha team UKAWA walivyo. kuitwa Loafers iliwastahili kabisa. Le Mutuz you deserve appreciations
Mambo mengine si ya kufumbia macho. lengo la kuileta hii video huku bila shaka ni kutuonesha aina ya viongoz tunawatukuza kuwa bora, na kwa nn EL aongee maneno hayo ilhali akijua sio waruthelani wote wanaomkubali? alipaswa ayaongee hayo akiwa ndotoni "shame upon him"
katka kuenzi demokrasia na uhuru wa mtu kufanya maamuzi binafsi nawaunga mkono Prof. Lipumba na Dk. Slaa na uhuru wa kuzungumza ni haki yao ya kikatiba. kinacho waudhi kitu gn?
mkiona wanayoongea hamyapendi jueni hayawalengi nyie wahusika wapo ndio maana wanaelewa na kukaa kimya
Acheni kulitumia jina la mungu isivyopaswa kwa maana yeye hasemewi bali husema na kutenda, hachaguliwi ila huchagua na kuonyesha uchaguzi wake. Eti nanyi ni lini na wapi mmeongea na mungu akawambia uchaguzi wake kwa rais ajaye Tanzania? Kusema uongo kwetu tunafundishwa kuwa ni dhambi
ndio siasa za tzania zilivyo kikubwa ni pale watakaposhindwa kupata kiti cha urais then mahakama maalumu ya mafisadi na majizi kama ccm watapita ianze kufanya kazi yake wananchi tutajua akili ya Kafulila ni ya kukodi/kutumiwa ama la
Lowassa aliingia UKAWA ili kujipunguzia stress likini nafsi yake akiwa jukwaani inamsuta kwa namna anavyohujumu Upinzani. na kama washauri wake ndio akina Gwajima basi ukawa itakufa baada ya uchaguzi
Raha ya Lowasa ni kuona Umati mkubwa ukihudhuria mkutano hana hoja za kushawishi. hats hao madada poa aliokuwa akiwahutubia hajagusa kabisa kiu yao ndio maana walitumia muda mrefu kupiga kelele kama watoto wa shule maana hawakuiona ajenda iliyowagusa
Ukawa inabidi wakae wajitafakari upya. mkutano umenadiwa kuwa ni wa Lowasa afu wewe #Ocampo four unageuzwa ukweli baada ya kuona comedian wenu kafanya matango pori. anatia aibu kweli
unachoongea ni sahihi kabisa ila ukiwaambia hivyo vijana wa ukawa wanakushushia mitusi. ukawa ina vijana wasomi lakini wenye hoja za kitoto ( kwa mitusi yao hawatakuja kupewa uongozi wa nchi na wataendekea kuitwa Complete loafers)
unachoongea ni sahihi kabisa ila ukiwaambia hivyo vijana wa ukawa wanakushushia mitusi. ukawa ina vijana wasomi lakini wenye hoja za kitoto ( kwa mitusi yao hatatapewa uongozi na wataendekea kuitwa Complete loafers)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.