Yani humu JF Kutishana kwingi sana. Mtu kataka kuoa kaomba ushauri lakini ushauri unaotoka umekaa kiuogauoga sana. Miaka 28 ni mingi mi nashauri aoe tu mambo mengine yatajijua mbele ya safar ya ndoa..
Nimeona watoa comment wengi kama mnatoa ushauri wa kumuogopesha lakini kuoa ni uamzi wa mtu. Ko yeye kama anaona anaweza kulea familia na kazi yake inampa kipato kizuri aoe tu. Azae mapema na alee watoto akiwa na nguvu.
Asali ni tamu lakin ukila kupita kiasi inakuwa chungu. Pia asali inatibu wale waliopata majeraha ya kuungua na moto au maji ya moto.
Chukua ngozi ya ng'ombe kipande kidogo kiunguze kwa moto au mkaa upate mkaa au upate unga wake kisha chukua huo unga wa wa ngozi ya ng'ombe changanya na asali...
sisi wengine huwa tunavumilia mpaka utakapopata jibu la yes or no. Kwa hiyo ukiona unashindwa kuwa mvumilivu ujue hauna upendo wa kweli/ wewe ni mzinzi sana kiufup malaya
Kwa nini kuchoshwa na usahihi?
Mara nyingi kuna watu ambao huwa na msimamo wa mambo wanayoyaamini.
Mfano: Kuna binti mmoja alikuwa anasoma katika shule ya upili(secondary) na lengo lake lilikuwa ni kupata elimu bora ili awe na maisha bora na akawa akiamini kwamba endapo atasoma kwa bidii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.