Asali ni tamu lakin ukila kupita kiasi inakuwa chungu. Pia asali inatibu wale waliopata majeraha ya kuungua na moto au maji ya moto.
Chukua ngozi ya ng'ombe kipande kidogo kiunguze kwa moto au mkaa upate mkaa au upate unga wake kisha chukua huo unga wa wa ngozi ya ng'ombe changanya na asali...
sisi wengine huwa tunavumilia mpaka utakapopata jibu la yes or no. Kwa hiyo ukiona unashindwa kuwa mvumilivu ujue hauna upendo wa kweli/ wewe ni mzinzi sana kiufup malaya
Kwa nini kuchoshwa na usahihi?
Mara nyingi kuna watu ambao huwa na msimamo wa mambo wanayoyaamini.
Mfano: Kuna binti mmoja alikuwa anasoma katika shule ya upili(secondary) na lengo lake lilikuwa ni kupata elimu bora ili awe na maisha bora na akawa akiamini kwamba endapo atasoma kwa bidii...
Kuna maumivu ya kucha kuuma, jino yani asikwambie mtu. Pengine hata ukijing'ata ulimi wakati wa kula au unaongea hapo ndo utajua kwa nini ulimi una faida
yaani sikuhizi ulimwengu wetu unapenda sana watu wa namna hxo. Hata wasanii wetu wanasapoti (na ukipata limama likuoe likupe pesa huu mwaka utoboe). Dah! Hatari sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.