Recent content by Badakao

  1. Badakao

    Maajabu ya nyuki usiyoyajua

    Asali ni tamu lakin ukila kupita kiasi inakuwa chungu. Pia asali inatibu wale waliopata majeraha ya kuungua na moto au maji ya moto. Chukua ngozi ya ng'ombe kipande kidogo kiunguze kwa moto au mkaa upate mkaa au upate unga wake kisha chukua huo unga wa wa ngozi ya ng'ombe changanya na asali...
  2. Badakao

    KUWA NA PISI NYINGI INAKUWA HIVI

    sisi wengine huwa tunavumilia mpaka utakapopata jibu la yes or no. Kwa hiyo ukiona unashindwa kuwa mvumilivu ujue hauna upendo wa kweli/ wewe ni mzinzi sana kiufup malaya
  3. Badakao

    Tupambane na tusikate tamaa lakini tusichoshwe na usahihi

    Kwa nini kuchoshwa na usahihi? Mara nyingi kuna watu ambao huwa na msimamo wa mambo wanayoyaamini. Mfano: Kuna binti mmoja alikuwa anasoma katika shule ya upili(secondary) na lengo lake lilikuwa ni kupata elimu bora ili awe na maisha bora na akawa akiamini kwamba endapo atasoma kwa bidii...
  4. Badakao

    Utata wa mpaka wa ziwa Nyasa: Google map wako sahihi kwa 100%, serikali ya Tanzania msipotoshe na kutisha watu

    Sasa hapo google map istumike mashulen wakati hzo google map tunazo kwa simu zetu. Watamdanganya nan
  5. Badakao

    Watanzainia tuilinde lugha yetu ya Kiswahili, Wakenya wanaiharibu sana!

    Sema rafudhi ya kikenya iko bomba sana imekaa kikomedy.
  6. Badakao

    KERO Tume ya utumishi wa umma jirekebisheni kwenye mawasiliano

    Kumbe na wewe umeliona ee. Yan wako kama vile hawako serious
  7. Badakao

    Ni maumivu gani makali zaidi ya mwili?

    Kuna maumivu ya kucha kuuma, jino yani asikwambie mtu. Pengine hata ukijing'ata ulimi wakati wa kula au unaongea hapo ndo utajua kwa nini ulimi una faida
  8. Badakao

    Maarifa ya zama hizi

    Hiyo ndo globalization.
  9. Badakao

    Je unajua YESU physically tayari yupo duniani?

    acha kuwadanganya watu hebu soma ufunuo 1 : 7 uone inavyosema kwamba akija kila jicho litamwona
  10. Badakao

    Siwezi Kutoka na Mwanaume asiye na Hela!

    .Tattizo wanawake wa leo wanapenda watu kwa kile kizuri wanachokiona kwa macho mfano gari nyumba nzuri, n.K bila kujali mtu mwenye upendo.
  11. Badakao

    JF Chat: All members chat

    Mimi hakuna kitu naogopa kama kuchat
  12. Badakao

    Ewe mwanamke usikubali kuingia kwenye makundi yenye majina haya

    yaani sikuhizi ulimwengu wetu unapenda sana watu wa namna hxo. Hata wasanii wetu wanasapoti (na ukipata limama likuoe likupe pesa huu mwaka utoboe). Dah! Hatari sana.
Back
Top Bottom