inasemekana 45/% ya ardhi ya Tanzania imechimbiwa mabomu ya ardhini tangu vita kuu ya pili ya dunia,kwa hiyo hii ni changamoto kwa serikali yetu kuchunguza ukweli huu ili watz tukae salama.
Mimi ni mkazi wa mikoa ya kusini lakini ktk pita pita zangu nikapata safari ya kwenda Mwanza,nakumbuka tumetoka Ubungo dereva akiwa na mwendo wa kistaarabu sana.
Lakini tulipo anza kuicha Dar nikagundua kumbe jamaa alikuwa anahofia traffic tu mara akaanza kuweka gia za ajabu mwendo wa kasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.