Recent content by Backtown

  1. Backtown

    IQ test: Ukipata ujue una akili nyingi na uwezo wa kupambanua mambo kwa utulivu na usahihi

    Jibu 16.5 Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
  2. Backtown

    Kanali Lubinga: Mwandishi habari ya kuibiwa Kifaru atasimulia tumemshughulikiaje, ukatili hauepukiki

    Nimesoma comment nyingi sana ila nimeona wengi mnazungumzia sheria za penal code...je sheria za ulinzi wa Taifa mnazijua?uandishi wa aina hiyo kwanza si za kizalendo kwani ni kujidhalilisha wenyewe.pia huyo mwandishi na mhariri wangewasiliana na jeshi kuhakikisha kama kifaru kweli kimeibwa?huyo...
  3. Backtown

    JWTZ Wakanusha taarifa za kuibiwa Kifaru

    Watanzania bwana daaaa.! Kama hujui kitu kaa kimya..magazeti na waandishi wetu ndio hao
  4. Backtown

    JWTZ kwani ni lazima mazoezi yenu ya kukimbia muyafanyie humu mijini?

    Ulitaka jeshi likalinde pori wakati raslimali na miundo mbinu huanzia mjini? Strategically lazima vikosi viwe mjini,mipakani, katikati ya nchi na pande zote za nchi..kama huwataki mjini wewe ndio uhame mji acha wanaume wazalendo waliojitolea kutulinda wafanye kazi
  5. Backtown

    Photo printer inahitajika haraka

    Hp ina print kuscan na kupiga photocopy.kama unahitaji ni tsh 150000
  6. Backtown

    Photo printer inahitajika haraka

    Ipo ninayo
  7. Backtown

    Joshua Nasari ni Jipu, alikuwepo wakati Rose Odinga anadanganya

    Ulitegemea uwezo wa wabunge wa ukawa wawe na uwezo gani? Kama kweli alikuwepo na akakaa kimya hadi leo basi kuna tatizo hapo..wabunge wa ukawa most of them uwezo wao ni questionable so i dont wonder jamaa kukaa kimya ila ni wazuri sana wa kutoka nje ya bunge..sometimes naona kama ni waoga flani...
  8. Backtown

    Rais Magufuli alakiwa Arusha, akiwa ndani ya nguo za Kijeshi

    Rais hakuja kichama..na msiwe mnachangia vitu ambavyo si fani zenu..tunawaona mbumbumbu..rais ni amiri jeshi mkuu na alikuwa anaenda kukagua vifaa vya kijeshi na kufunga zoezi la kijeshi,kwenye eneo la vita tena porini mlitaka aende na suti?kule watu walikuwa kivita zaidi na si kisiasa..amiri...
Back
Top Bottom