UTANG'ARA AU UTAFUBAA
Zamani za kale, katika Ufalme mkubwa wa Singida, alizaliwa mtoto wa kifalme mwenye alama ya ajabu usoni jina lake aliitwa Kachimuu, mtoto wa malkia wa pili. Kabla hajazaliwa, waganga wa jadi walitoa unabii:
"Atakapong’aa, atakuwa mwangaza wa taifa,
lakini ikiwa hatatulia...