Recent content by Back N days

  1. Back N days

    Ukweli usemwe watu wanaumizwa mno

    Picha ulopost mtandaoni iko wapi tuone kweli we mzuri au iyo Avatar ya huyo m-mama sura inaonyesha kajichokea ndio wewe? Afu unakuja kujipa umhimu hapa
  2. Back N days

    Ni ajabu sana kudhani kuna mbadala wa Samia ndani ya CCM

    Sasa tutafanyaje mkuu kuiondoa unapendekeza namna gani tufanye?
  3. Back N days

    Ndugu yako akisoma hizo course jitahidi kumuandalia bodaboda kama backup

    Kwenye strong zako sijaona medical doctor na Nursing?
  4. Back N days

    Ubabaishaji gani umekutana nao kwenye mahusiano ikakufanya usiendelee kuwa nae au kama ulikuwa unamuhitaji ukaachana nae

    Ahadi za nakuja kila weekNd afu hatokei nikaona isiwe case uzuri hakunilia hata 10 cent japo namim sikuilalua😁😁
  5. Back N days

    Idadi ya Watu walioko kwenye Ndoa vilio na kulalama juu ya Ndoa kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa kubwa

    Kwa miaka ya hivi sasa kila alieko kwenye ndoa amekuwa akilalama juu ya mahusiano na mwenzi wake sababu ni nini lakini wakuu mlioko kwenye Ndoa . Wanawake wengi wamekuwa wakitaka uhuru binafsi ku-socialize na marafiki zao ku-hang out pamoja kwenye mashughuri mbalimbali . Wanaume nao wanaona...
Back
Top Bottom