Nahitaji watu wawili wenye Diploma ya Environmental au Health and Safety au kozi inayahusiana na hizo na Experience kidogo ya kusimamia miradi. Akiwa na certificate ya SHE reps ya OSHA ni bora zaidi
Mradi upo Njombe
Nitumie CV yako kupitia zuberi@live.com
Mwisho tarehe 09/04/2017
Mshahara...
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) linapenda kuwatangazia waombaji kazi waliofanya usaili tarehe 28 na 29 Septemba 2015 kuwa wafuatao wamechaguliwa. Hivyo wanaombwa kufika TBS, Ubungo DSM tarehe 30.10.2015 kwa ajili ya kukamilisha mchakato wa ajira.
1. Standards Officer II (Pharmacy)
Mr...
Mfano metrologist physics watu 7 kwa 16 huu ni usanii kabisa at least watu waitwe 21 kwa ratio ya 1:3....na waliosoma Bsc in physics wapo wengi waliomaliza udom lakini wamekatwa bila hata kupimwa uwezo wao..ndio maana nauliza vigezo gani wametumia hawa TBS ?
Siamini hawa watu walioitwa TBS ndio walioapply...shortlist wametumia vigezo gani kupata ? Maana kama gpa hawajasema..naombeni msaada wa kufafanua haya Mambo..ili wakitukata post nyengine zilizobaki nisishangae..hr nisaidieni..mbona mara ya kwanza hawajafanya hivyo ?
Sio promo kiongozi ni uwezo tu....bacheleor of engineering in electrical /electronics ....kufundisha najua na napenda .....nataka kuwa lecture siku moja mungu akipenda
Habari ndugu.
Kwa yeyote ambaye anahitaji mwalimu wa kufundisha (home tuition) basi anione. Ninafundisha masomo ya Hisabati (Basic mathematics & advance mathematic) na fizikia (Physics) na kemia (chemistry) Ninatumia mbinu za kisasa kumfanya mwanafunzi aelewe vizuri juu ya kile...
Ufahamu wangu kuwa jambo la kubadilisha kazi au kuacha linawezekana unatakiwa kufuata utaratibu maana kwenye barua ya kuajiriwa wanasema unaweza acha kazi lakini unatakiwa utoe taarifa na ufanye kazi miezi mitatu then ulipe mshahara wa mwezi mmoja....kuna watu wamebadilisha kazi serikalini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.