Recent content by Babykid

  1. Babykid

    Je, ni kweli kwenye Quran kuna kifungu kinaruhusu kuua wasio Waislamu?

    Hakuna kitu kama hicho uislamu unahusia kuishi na jamii zingine bila bugudha ndo maana kwenye Quraan Mungu anasema wala msilazimishane katika dini...
  2. Babykid

    Naombeni msaada wa kitiba, mwanangu anatatizo la mgolo (bawasiri)

    Hapo Doctor hana cha kukusaidia zaidi alivyokushauri zingatia listed ya mtoto hasa matunda na vyakula vya majimaji coz angesema afanyiwe mchakato wa uparation dogo kama mwanaume anaweza kuwa msenge baadae
  3. Babykid

    SI KWELI Iwapo tunda la nyanya linaonesha dalili kama hizi, linaweza kuwa na sumu kwa kung'atwa na nyoka

    Huo ni ugonjwa tu wa nyanya unapaswa kuondoa eneo husuja nza kuendelea na matumizi
  4. Babykid

    Nimeshangaa sana nilipokutana na hii kitu kwenye website ya Muhimbili National Hospital

    Taifa lako litajengwa na wewe mkuu chukulia huo mfuko ukitanuka kutakuwa na shida think positive
  5. Babykid

    Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali waandamana Ujerumani wakitaka uwepo wa Sheria za Kiislamu (Sharia Laws)

    Wajerumani wanataka wawaondoe waislam hivyo wametengeneza propaganda
  6. Babykid

    Waislamu wa Sunni nchini Iran wanabaguliwa na kunyimwa fursa huku wakihesabika kama raia daraja la pili

    Basi wasingeenda Palestina kuwatetea masunni acha propaganda
  7. Babykid

    Israel iruhusiwe kufungua vyuo Afrika Mashariki kufundisha lugha ya Kiebrania, mila, desturi na fani ya intelijensia

    Ingekuwa ivyo ila taifa letu haliwezi kuungana nabtaifa la kigaidi tangu Enzi za Baba waTaifa Julius Nyerere
Back
Top Bottom