Ila toka mwaka jana kama hujafikisha 75%hupandi na watu hawa kupanda, kwa mwaka huu kama hukufikisha hizo asilimia ni uzembe wako mana kila mtumishi analijua hili
Uko sahihi mkuu, Chadema pia kwenye mikutano yao wawaelimishe watu juu ya kujilinda wenyewe aidha tutumie hata filimbi kuashiria hatari ya kutekwa, polisi akija kukukamata nyumbani piga filimbi watu waje wajue unapelekwa kituo gani. Hali ni mbaya aisee 😭
Hivi mama yake wakati anamteua hakuwaza hata kidogo hata aache papoe poe hata kwa miaka miwili au ndo kiburi cha uzima. 🙌Yani kuna vitu ukiviwaza hata haviingii akilini
Kwani hawa hawana familia zao? Yani sidhani kama wanastahili kufa hao ila zife familia zao ili na wao wapate uchungu. Wanapata wapi ujasiri wa kujitapa hivyo 😁
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.