Recent content by baby s

  1. baby s

    PostGE2025 Tangu aongee na 'wazee' wa Dar mbona Rais Samia haonekani?

    Akae tu huko aliko mana kila akitokeza anayoyaongea yanaumiza mioyo
  2. baby s

    PostGE2025 Mshaurini Wanu ajiuzulu angalau kupoza kipengele hicho

    Hivi mama yake wakati anamteua hakuwaza hata kidogo hata aache papoe poe hata kwa miaka miwili au ndo kiburi cha uzima. 🙌Yani kuna vitu ukiviwaza hata haviingii akilini
  3. baby s

    PostGE2025 Anatafuta sababu ya kufungia Kanisa Katoliki

    Natamani ajaribu tu hata kidogo kuwafungia 😀😀
  4. baby s

    Waanovujisha video za mochwari weekend wana akili sana

    Nimeona ya Arusha na Dar ya mwanza sijaiona
  5. baby s

    PICHA: Wauaji wa vijana kwenye maandamano wakijitapa mtandaoni

    Kwani hawa hawana familia zao? Yani sidhani kama wanastahili kufa hao ila zife familia zao ili na wao wapate uchungu. Wanapata wapi ujasiri wa kujitapa hivyo 😁
  6. baby s

    PostGE2025 Video nyingine ikionyesha Mochwari ya hospitali ya Mount Meru - Arusha iliyojaa miili yavuja

    Daaah jamani kwanini lakini kuna siri gani nyuma ya haya mauaji nilikua nimeanza kupona maumivu yamerudi upya. God where are you 🙌😭😭
  7. baby s

    Utabiri: Taja jina la mbunge unayetamani awe Waziri Mkuu mpya wa Tanzania?

    Wampe tu hata baba Levo nchi ishajifia hii
Back
Top Bottom