Recent content by Baby luby

  1. B

    JamiiForums Tanzania Bachelor in Business and Project management TIPM VS Project planning and Management IRDP

    Thanks, nilitaka Economic and finance lakini nahisi hesabu kidogo zitanishinda, than nimekaa nimefkiria mbona lakini najuwa kuna watu hichi mimi nnacho kifkiria wao tayari washa experience huku nje na wanajuwa kipi ni bora zaidi that's why nimeleta hapa nipate muongozo zaidi
  2. B

    JamiiForums Tanzania Bachelor in business and project management TIPM VS Bachelor in Project planning and Management IRDP

    Hey Guys, naomba ushauri kati ya hizo kozi 2 hapo ipi ipo marketable na job availability kwenye NGOs, Private sectors and Government. Mwenye uelewa au ambae amesoma kozi moja kati ya hizo
  3. B

    JamiiForums Tanzania Bachelor in Business and Project management TIPM VS Project planning and Management IRDP

    Hey Guys, naomba ushauri kwa mwenye experience anaejuwa kuhusu kati ya hizi kozi mbili which one is much better to study? Job availability NGOs, private sectors and Government.
  4. B

    JamiiForums Tanzania HGL kwenda Economics & Finance TIA: Naweza Bila ya good foundation in mathematics?

    Anhaa okay, nauliza maana naona sijawahi kuiona kwenye adverts za government
  5. B

    JamiiForums Tanzania HGL kwenda Economics & Finance TIA: Naweza Bila ya good foundation in mathematics?

    Asanteni sana. Na vipi kuhusu hii kozi ya Bachelor in Development Finance and Investment Planning IRDP ipoje na apart from NGOs unaweza kuajiriw sector zipi Government
  6. B

    JamiiForums Tanzania HGL kwenda Economics & Finance TIA: Naweza Bila ya good foundation in mathematics?

    Habari zenu wakuu. Nimesoma HGL na katika kutafuta chuo nimeona TIA kuna kozi ya Bachelor in Economics and Finance. TCU nna kigezo cha kusoma lakini Sina msingi mzuri wa Mathematics, hivyo naomba kujua kama naweza kuimudu licha ya kutoka Arts. Naomba wenye uzoefu au waliosoma kozi hii, hasa...
Back
Top Bottom