Mara nyingi mwanamke anajua kucheza na akili ya mwanaume, mfano najua huyu ndo mchumba atakaenioa na hapendi kuombwa pesa hapo chakufanya nikuchepuka na kumuomba danga ambae sina future nae.
Yani umenioa wew kutwa kuwakaza nje mm hunikazi inavyotakiwa, sasa nimepata kiserengeti nje kinanyonya mpaka nafika kilelen uwii show ya kibabe kwann nisikazwe nje aaah subutu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.