Hivi ndivyo pesa za Mh .Magufuli zinavyoliwa na maafisa elimu kwa baadhi ya halmashauri

digba sowey

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
7,890
14,342
Habari wakuu,hamjambo ? Naomba niende kwenye hoja yangu

Nimekuwa mdau Mkuu Wa elimu kwa miaka mingi sana toka enzi za ulipaji karo hadi elimu bure,nashukuru na kumpongeza rais kwa kujitahidi kuziba wapiga dili katika awamu yake,lakini naomba nikiri kuwa watu wanashusha mijengo mikubwa kwa kutumia fedha hizo.

Mwaka Jana nikiwa miongoni mwa wasimamizi Wa Shule yenye watoto Wa kidato cha NINE watoto 80 na kidato cha pili watoto 120, tulitakiwa Kuchangia pesa za mitihani ya Mock ,ambapo kwa kila mtoto tuliamuliwa kutoa sh 3000/= ili kufanikisha mitihani hiyo, kwa hiyo ukizidisha Mara idadi ya watoto ni 200x 3000=600,000/= kwa Shule moja tu.

Naomba izingatiwe kuwa hii ni mitihani ya mock wilaya/mkoa. Katika wilaya Yangu kuna Shule 20 na kwa makadirio kila Shule iwe na watoto 200 kwa kidato cha pili na cha nne ambao wanapaswa kufanya mtihani Wa mock wilaya/mkoa ,ukizidisha 20x600,000/= utapata 12,000,000/= kwa mwaka kila mtihani Wa mock unapofanyika, hii ikumbukwe kuwa ni miradi ya watu kwani tenda za uchapaji na urudufishaji Wa mitihani hii hupelekwa kwa masteshenari ya maafisa elimu na kujipatia neema ya pesa za umma

Mwaka huu tulijaribu kuwashauri wasimamizi Wa mitihani ya mock kuwa tuwe na Mashine za kuchapa na kurudufu kwa halimashauri yetu ili kuokoa gharama za milioni 12 kila mwaka walikataa kabisa,ambapo Mashine ya kiwango cha juu na yenye ubora tulipoulizia madukani tuliambiwa ni milioni 9 pekee.lakini kwa kuwa hii ni miradi ya maafisa elimu hili haliwezi kukubalika kiurahisi.

MAONI YANGU
Naomba serikali iingilie kati suala hili ili kuzilazimisha kila halimadhauri kuwa na Mashine ya kuchapa na kurudufu mitihani kwani jambo hili litaokoa mamilioni ya fedha zinazopigwa na maafisa elimu kila mwaka kwa baadhi ya halmashauri

Pili ili kusaidia uendeshaji na uchapaji Wa mitihani kila Shule itatakiwa kupeleka ream paper kulingana na udadi ya watahiniwa

Mwisho kila mtanzania lazima awajibike kutetea na kulinda Mali za umma na kupiga kelele pale anapoona kuna ubadhirifu.
Ahsanteni.
 
Mwaka huu tulijaribu kuwashauri wasimamizi Wa mitihani ya mock kuwa tuwe na Mashine za kuchapa na kurudufu kwa halimashauri yetu ili kuokoa gharama za milioni 12 kila mwaka walikataa kabisa,ambapo Mashine ya kiwango cha juu na yenye ubora tulipoulizia madukani tuliambiwa ni milioni 9 pekee.lakini kwa kuwa hii ni miradi ya maafisa elimu hili haliwezi kukubalika kiurahisi.
Hiyo milioni 9 ni manunuzi pekee, bado kuna running costs (katatasi, wino, matengenezo, mshahara/posho wa kumuajiri/kumlipa mchapaji, gharama za umeme za mashine na AC, UPS, Jenereta, na usafirishaji wa hapa na pale). Mbali na running costs hizo, kukitegemea chanzo kimoja cha uchapishaji ni risk kubwa, maana siku kikiwa down, mitihani haitachapishwa na mtalazimika kwenda uraiani. Pamoja na kwamba mashine inaweza ikadumu kwa miaka mitano hadi kumi, lakini kwa tofauti ya hizo milioni 9 na 12, ni heri mitihani ichapishwe kwa kandarasi kuliko kununua mashine
 
Habari wakuu,hamjambo ? Naomba niende kwenye hoja yangu

Nimekuwa mdau Mkuu Wa elimu kwa miaka mingi sana toka enzi za ulipaji karo hadi elimu bure,nashukuru na kumpongeza rais kwa kujitahidi kuziba wapiga dili katika awamu yake,lakini naomba nikiri kuwa watu wanashusha mijengo mikubwa kwa kutumia fedha hizo.

Mwaka Jana nikiwa miongoni mwa wasimamizi Wa Shule yenye watoto Wa kidato cha NINE watoto 80 na kidato cha pili watoto 120, tulitakiwa Kuchangia pesa za mitihani ya Mock ,ambapo kwa kila mtoto tuliamuliwa kutoa sh 3000/= ili kufanikisha mitihani hiyo, kwa hiyo ukizidisha Mara idadi ya watoto ni 200x 3000=600,000/= kwa Shule moja tu.

Naomba izingatiwe kuwa hii ni mitihani ya mock wilaya/mkoa. Katika wilaya Yangu kuna Shule 20 na kwa makadirio kila Shule iwe na watoto 200 kwa kidato cha pili na cha nne ambao wanapaswa kufanya mtihani Wa mock wilaya/mkoa ,ukizidisha 20x600,000/= utapata 12,000,000/= kwa mwaka kila mtihani Wa mock unapofanyika, hii ikumbukwe kuwa ni miradi ya watu kwani tenda za uchapaji na urudufishaji Wa mitihani hii hupelekwa kwa masteshenari ya maafisa elimu na kujipatia neema ya pesa za umma

Mwaka huu tulijaribu kuwashauri wasimamizi Wa mitihani ya mock kuwa tuwe na Mashine za kuchapa na kurudufu kwa halimashauri yetu ili kuokoa gharama za milioni 12 kila mwaka walikataa kabisa,ambapo Mashine ya kiwango cha juu na yenye ubora tulipoulizia madukani tuliambiwa ni milioni 9 pekee.lakini kwa kuwa hii ni miradi ya maafisa elimu hili haliwezi kukubalika kiurahisi.

MAONI YANGU
Naomba serikali iingilie kati suala hili ili kuzilazimisha kila halimadhauri kuwa na Mashine ya kuchapa na kurudufu mitihani kwani jambo hili litaokoa mamilioni ya fedha zinazopigwa na maafisa elimu kila mwaka kwa baadhi ya halmashauri

Pili ili kusaidia uendeshaji na uchapaji Wa mitihani kila Shule itatakiwa kupeleka ream paper kulingana na udadi ya watahiniwa

Mwisho kila mtanzania lazima awajibike kutetea na kulinda Mali za umma na kupiga kelele pale anapoona kuna ubadhirifu.
Ahsanteni.
Sijaona zinapigwaje..!! Kudurufu ni lazima iwe kw afisa elimi au halmashauri... Ulichotakiwa kusema ni namna ya kupunguza gharama.... Kumbuka anayedurufu utamlipa, mashine utanunua...

KUPIGWA MAANA YAKE FEDHA IMECHUKULIWA NA KUINGIZWA MIFUKONI MWA WATU HUKU SHUGHURI ILIYIDHAMILIWA HAIJAFANYIKA AU IMEFANYWA SI KWA UKAMILIFU WAKE...
 
Mkuu mbona halmashauri kama za liwale wameweza hili na hakuna tatizo for almost four years?
Hiyo milioni 9 ni manunuzi pekee, bado kuna running costs (katatasi, wino, matengenezo, mshahara/posho wa kumuajiri/kumlipa mchapaji, gharama za umeme za mashine na AC, UPS, Jenereta, na usafirishaji wa hapa na pale). Mbali na running costs hizo, kukitegemea chanzo kimoja cha uchapishaji ni risk kubwa, maana siku kikiwa down, mitihani haitachapishwa na mtalazimika kwenda uraiani. Pamoja na kwamba mashine inaweza ikadumu kwa miaka mitano hadi kumi, lakini kwa tofauti ya hizo milioni 9 na 12, ni heri mitihani ichapishwe kwa kandarasi kuliko kununua mashine
 
Mhh wewe una lako jambo. Mimi ni mdau wa elimu kuliko wewe na shule ninazosimamia zina wanafunzi zaidi ya elfu sio 200 kama wa kwako. Cha ajabu ni kwamba hizi gharama uendeshaji wake ni mkubwa kiasi kwamba inabidi hela ikopwe idara nyingine kuchangia uandaaji wa mitihani. Kwa ufupi ni kwamba sioni cha kulalamika hapa. Peleleza vzr au omba upewe hiyo kazi kama hujaweka mikono kichwani.
 
Habari wakuu,hamjambo ? Naomba niende kwenye hoja yangu

Nimekuwa mdau Mkuu Wa elimu kwa miaka mingi sana toka enzi za ulipaji karo hadi elimu bure,nashukuru na kumpongeza rais kwa kujitahidi kuziba wapiga dili katika awamu yake,lakini naomba nikiri kuwa watu wanashusha mijengo mikubwa kwa kutumia fedha hizo.

Mwaka Jana nikiwa miongoni mwa wasimamizi Wa Shule yenye watoto Wa kidato cha NINE watoto 80 na kidato cha pili watoto 120, tulitakiwa Kuchangia pesa za mitihani ya Mock ,ambapo kwa kila mtoto tuliamuliwa kutoa sh 3000/= ili kufanikisha mitihani hiyo, kwa hiyo ukizidisha Mara idadi ya watoto ni 200x 3000=600,000/= kwa Shule moja tu.

Naomba izingatiwe kuwa hii ni mitihani ya mock wilaya/mkoa. Katika wilaya Yangu kuna Shule 20 na kwa makadirio kila Shule iwe na watoto 200 kwa kidato cha pili na cha nne ambao wanapaswa kufanya mtihani Wa mock wilaya/mkoa ,ukizidisha 20x600,000/= utapata 12,000,000/= kwa mwaka kila mtihani Wa mock unapofanyika, hii ikumbukwe kuwa ni miradi ya watu kwani tenda za uchapaji na urudufishaji Wa mitihani hii hupelekwa kwa masteshenari ya maafisa elimu na kujipatia neema ya pesa za umma

Mwaka huu tulijaribu kuwashauri wasimamizi Wa mitihani ya mock kuwa tuwe na Mashine za kuchapa na kurudufu kwa halimashauri yetu ili kuokoa gharama za milioni 12 kila mwaka walikataa kabisa,ambapo Mashine ya kiwango cha juu na yenye ubora tulipoulizia madukani tuliambiwa ni milioni 9 pekee.lakini kwa kuwa hii ni miradi ya maafisa elimu hili haliwezi kukubalika kiurahisi.

MAONI YANGU
Naomba serikali iingilie kati suala hili ili kuzilazimisha kila halimadhauri kuwa na Mashine ya kuchapa na kurudufu mitihani kwani jambo hili litaokoa mamilioni ya fedha zinazopigwa na maafisa elimu kila mwaka kwa baadhi ya halmashauri

Pili ili kusaidia uendeshaji na uchapaji Wa mitihani kila Shule itatakiwa kupeleka ream paper kulingana na udadi ya watahiniwa

Mwisho kila mtanzania lazima awajibike kutetea na kulinda Mali za umma na kupiga kelele pale anapoona kuna ubadhirifu.
Ahsanteni.
Nina walakini na uwezo wako wa kufikiria mkuu.

Nilivyo ona heading nikajua umeleta nondo za maana kumbe daah.

Kuna kitu nimegundua hapa kuwa mleta uzi umeongozwa na wivu kwa huyo afisa elimu wako.

Yawezekana unamiliki kajistationari na amekunyima tenda ya fotokopi.


Ukizeeka utakuwa mchawi wewe.
 
Habari wakuu,hamjambo ? Naomba niende kwenye hoja yangu

Nimekuwa mdau Mkuu Wa elimu kwa miaka mingi sana toka enzi za ulipaji karo hadi elimu bure,nashukuru na kumpongeza rais kwa kujitahidi kuziba wapiga dili katika awamu yake,lakini naomba nikiri kuwa watu wanashusha mijengo mikubwa kwa kutumia fedha hizo.

Mwaka Jana nikiwa miongoni mwa wasimamizi Wa Shule yenye watoto Wa kidato cha NINE watoto 80 na kidato cha pili watoto 120, tulitakiwa Kuchangia pesa za mitihani ya Mock ,ambapo kwa kila mtoto tuliamuliwa kutoa sh 3000/= ili kufanikisha mitihani hiyo, kwa hiyo ukizidisha Mara idadi ya watoto ni 200x 3000=600,000/= kwa Shule moja tu.

Naomba izingatiwe kuwa hii ni mitihani ya mock wilaya/mkoa. Katika wilaya Yangu kuna Shule 20 na kwa makadirio kila Shule iwe na watoto 200 kwa kidato cha pili na cha nne ambao wanapaswa kufanya mtihani Wa mock wilaya/mkoa ,ukizidisha 20x600,000/= utapata 12,000,000/= kwa mwaka kila mtihani Wa mock unapofanyika, hii ikumbukwe kuwa ni miradi ya watu kwani tenda za uchapaji na urudufishaji Wa mitihani hii hupelekwa kwa masteshenari ya maafisa elimu na kujipatia neema ya pesa za umma

Mwaka huu tulijaribu kuwashauri wasimamizi Wa mitihani ya mock kuwa tuwe na Mashine za kuchapa na kurudufu kwa halimashauri yetu ili kuokoa gharama za milioni 12 kila mwaka walikataa kabisa,ambapo Mashine ya kiwango cha juu na yenye ubora tulipoulizia madukani tuliambiwa ni milioni 9 pekee.lakini kwa kuwa hii ni miradi ya maafisa elimu hili haliwezi kukubalika kiurahisi.

MAONI YANGU
Naomba serikali iingilie kati suala hili ili kuzilazimisha kila halimadhauri kuwa na Mashine ya kuchapa na kurudufu mitihani kwani jambo hili litaokoa mamilioni ya fedha zinazopigwa na maafisa elimu kila mwaka kwa baadhi ya halmashauri

Pili ili kusaidia uendeshaji na uchapaji Wa mitihani kila Shule itatakiwa kupeleka ream paper kulingana na udadi ya watahiniwa

Mwisho kila mtanzania lazima awajibike kutetea na kulinda Mali za umma na kupiga kelele pale anapoona kuna ubadhirifu.
Ahsanteni.
Ukiwa nje ya ndoa si rahisi kujua yanayoitatiza ndoa. Si vema kulaumu wanandoa wanapogombana kwa kuwa wewe huijui ndoa inabeba nini.

Wewe kwa haraka umeona hilo, walioko kwenye mfumo wameona walivyopanga. Kwa bahati nzuri hata wao wanatoa huo mchango. Unadhani hawaumii?
 
Mtoa maada nae ana lake jambo , hivi umejaribu kuwaza posho za usimamizi, kusahihisha n.k
Yaan 12m kwa elimu ya sasa ilivyo ni kawaida sana mkuu, unasema watu wanajenga nyumba hebu jiulize hiyo 12m wagawane wangapi then waangushe mjengo
"If you think education is expensive then try ignorance....
Waambie wazaZi wasipeleke watoto shule ili wasitoe hiyo 3000 ambayo unaiona ni nyingi,


Watoto wa viongozi wanasoma shule kubwa na nzuri, baadae wanakuja kutuongoza wewe upo hapa kulalamika inasikitisha
 
Hesabu yako tu inanitia shaka ya ukweli wa habari. Yaani waishia kupiga hesabu kiasi kinachokusanywa lakini huweki gharama nyingine zote la logistics mbalimbali na allowances.

Habari wakuu,hamjambo ? Naomba niende kwenye hoja yangu

Nimekuwa mdau Mkuu Wa elimu kwa miaka mingi sana toka enzi za ulipaji karo hadi elimu bure,nashukuru na kumpongeza rais kwa kujitahidi kuziba wapiga dili katika awamu yake,lakini naomba nikiri kuwa watu wanashusha mijengo mikubwa kwa kutumia fedha hizo.

Mwaka Jana nikiwa miongoni mwa wasimamizi Wa Shule yenye watoto Wa kidato cha NINE watoto 80 na kidato cha pili watoto 120, tulitakiwa Kuchangia pesa za mitihani ya Mock ,ambapo kwa kila mtoto tuliamuliwa kutoa sh 3000/= ili kufanikisha mitihani hiyo, kwa hiyo ukizidisha Mara idadi ya watoto ni 200x 3000=600,000/= kwa Shule moja tu.

Naomba izingatiwe kuwa hii ni mitihani ya mock wilaya/mkoa. Katika wilaya Yangu kuna Shule 20 na kwa makadirio kila Shule iwe na watoto 200 kwa kidato cha pili na cha nne ambao wanapaswa kufanya mtihani Wa mock wilaya/mkoa ,ukizidisha 20x600,000/= utapata 12,000,000/= kwa mwaka kila mtihani Wa mock unapofanyika, hii ikumbukwe kuwa ni miradi ya watu kwani tenda za uchapaji na urudufishaji Wa mitihani hii hupelekwa kwa masteshenari ya maafisa elimu na kujipatia neema ya pesa za umma

Mwaka huu tulijaribu kuwashauri wasimamizi Wa mitihani ya mock kuwa tuwe na Mashine za kuchapa na kurudufu kwa halimashauri yetu ili kuokoa gharama za milioni 12 kila mwaka walikataa kabisa,ambapo Mashine ya kiwango cha juu na yenye ubora tulipoulizia madukani tuliambiwa ni milioni 9 pekee.lakini kwa kuwa hii ni miradi ya maafisa elimu hili haliwezi kukubalika kiurahisi.

MAONI YANGU
Naomba serikali iingilie kati suala hili ili kuzilazimisha kila halimadhauri kuwa na Mashine ya kuchapa na kurudufu mitihani kwani jambo hili litaokoa mamilioni ya fedha zinazopigwa na maafisa elimu kila mwaka kwa baadhi ya halmashauri

Pili ili kusaidia uendeshaji na uchapaji Wa mitihani kila Shule itatakiwa kupeleka ream paper kulingana na udadi ya watahiniwa

Mwisho kila mtanzania lazima awajibike kutetea na kulinda Mali za umma na kupiga kelele pale anapoona kuna ubadhirifu.
Ahsanteni.
 
Sijaelewa kitu kimoja, unasema pesa za mh. Rais zinavuoliwa kwenye heading alafu kwenye habari unazungumzia jinsi wazazi wanavyochanga elfu tatu-tatu, inakuwaje Sasa?

Ni kujipendekeza, kujikomba au tuiteje?
 
Whatever Mkuu,kwani tunapigana? Lakini kumbuku yeye ndo msimamizi Mkuu Wa pesa
Mi binafsi sioni kama kuna ubaya hizo tenda zikawa zinawaangukia watumishi katika idara zao hii inaleta motisha na maisha bora kwa watumishi hao mbali na kutegemea mshahara wawe na sehemu nyingine ya kuongezea kipato- Tujivunie tukiona watumishi wetu wananeemeka ila cha msingi tuhakikishe ubora kwenye hizo kazi wanazopewa au wanazojipa pesa wanazopewa ziendane na kazi walizofanya somehow. Hata wakuu wa shule kama kuna tenda sio mbaya wakawapa kipaumbeke walimu wao. Tuache ubinafsi, tuache uadui na majungu maeneo ya kazi. After all kazi zinapita usipofukuzwa, utastaafu au utakufa na kazi utaiacha. Tujifunze kuishi vizuri.
 
Ulitaka wafanyaje na Mh amekataa kuongeza mishahara!?kwanza inabidi waongeze hata hiyo 3000 iwe 5000.
 
Jamani mbona unataka kuwabania walimu kiac hicho? Mishahara midogo acha wapate angalau hela ya Mboga
 
Back
Top Bottom