Recent content by Babusa

  1. Babusa

    Haidar Gulamali akutwa amehifadhi tani 154 za Sukari huko Dodoma

    .... katika pita pita yangu ya kufuta umande kuna kitu nilisoma "Stock level estimation", .. ziko njia nyingi kama vile JIT (just in time), Average Level.. etc Chonde chonde Takukuru, wasitulangue pia tusiingie mkenge!
  2. Babusa

    Sometimes in April

  3. Babusa

    Sometimes in April

    Uingalie pamoja na ile "Hotel Rwanda" na "Shooting the Dogs (Beyond the Gates" halafu pia usome kitabu cha Kamanda wa vikosi vya UN vilivyokuwa Rwanda (UNAMIR) Luteni Genarali Romeo Dellaire "SHAKE HANDS WITH THE DEVIL" (Failure of humanity in Rwanda) Mimi tangu niliposoma kitabu (personal...
  4. Babusa

    Sometimes in April

    Wacha tu! kuna yule mdogo wake (ki movie) anaitwa "Gregwaa" (Gregory in English). nilikesha siku moja huko Kyela, nikiangalia collection ya Rwanda genocide movies! Hii iliniliza kwa kweli, na kwa mimi nakumbuka fika huo mwezi April 1994 for some personal tragic moment! kweli ni "Sometimes in...
  5. Babusa

    Ufisadi kupitia zabuni za NSSF: Dr. Dau na genge lake wawajibishwe!

    Hii Mringoz ni kubwaa! Si hata yule "activist" /Diwani CCM Mahamoud Mringo ni familia hiyo hiyo?
  6. Babusa

    Nahitaji VGA to HDMI cable

    Nenda nenda electronic store moja pale round, puma filling station,nyuma ya ex-telecom nadhani linaitwa KVD wale jamaa nawaaminia hawajawahi kuniangusha, km dukani hamna ulizia fundi Goodluck ana workshop kwa nyuma, a real electronic fundi in town
  7. Babusa

    Historia: Tuambiane Nini Kilitokea Kwenye Vyumba Vya NEC 1985, 1995, 2005 na Itakavyokuwa 2015

    Part III: Ngwe ya mwisho na matokeo kutangazwa Kwanza kumradhi woote mliosubiri kwa muda ngwe hii, kamamnavyojua J3 ikianza na "ugali" wa vijana haujakaa sawa taabu kweli.Anyway tuendelee... Tayari wajumbe wa MM wameshapiga kura awamu ya pili,viongozi wanene kama kawa wamerudi downtown Dom...
  8. Babusa

    Historia: Tuambiane Nini Kilitokea Kwenye Vyumba Vya NEC 1985, 1995, 2005 na Itakavyokuwa 2015

    Party II, nilicho shuhudia 1995 Kabla sijamalizia, pia nieleze kuhusu team ya Mkapa, kwanza wale kina Aljabri walitupa kazi ngumu kidogo, eti km watakuja wagombea wengeni tuwapoteza maboya, waking'ang'ania tuwapeleke bweni 1 sio yote, tulikubali japo kinafiki, sisi interest yetu ujira...
  9. Babusa

    Historia: Tuambiane Nini Kilitokea Kwenye Vyumba Vya NEC 1985, 1995, 2005 na Itakavyokuwa 2015

    1995 nilishuhudia mambo ma 2, 1) JK alitoa hongo ya shs 30,000 kwa wajumbe wasiopungua 300, 2) JK alijinadi kwamba akiwa Rais basi waziri mkuu ni EL, na kwa kweli nadhani mgongo wa EL ulimbeba sana JK haya siyo ya kuambiwa niliona kwa macho na kusikia na masikio yangu, Iko hivi 1995 nilikuwa...
  10. Babusa

    Rais Kikwete na Mkewe, Mama Salma wahani msiba wa John Komba, waguswa na majonzi makubwa.

    umeona mm nime quote the same bila kuweka picha na mambo mengine?!
  11. Babusa

    Rais Kikwete na Mkewe, Mama Salma wahani msiba wa John Komba, waguswa na majonzi makubwa.

    acha kujaza pages, jifunze "kukwoti" kwa nidhamu, ni hivi: ukisha klik reply utaona unchotaka ku quote kipo kati ya square bracket " [ ]" futa kisichokuwa cha msingi kati hizo square braketi, kumbuka sio ndani ya [] bali kati ya [ ] na [] mnakera kurefusha uzi bila content ya maana, umeelewa...
  12. Babusa

    Rais Kikwete na Mkewe, Mama Salma wahani msiba wa John Komba, waguswa na majonzi makubwa.

    Wewe acha kujaza pages, jifunze "kukwoti" kwa nidhamu, ni hivi: ukisha klik reply utaona unchotaka ku quote kipo kati ya square bracket " [ ]" futa kisichokuwa cha msingi kati hizo square braketi, kumbuka sio ndani ya [] bali kati ya [ ] na [] mnakera kurefusha uzi bila content ya maana...
  13. Babusa

    TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

    Ww Victor jifunze "kukwoti" kwa nidhamu, unajaza pg bila sababu ya msingi, umeona mm nilivyofupisha quote yako kwa kufuta baadhi ya maneno? Fanya hivi: baada ya klick reply utaona " " sasa futa unecessary contents kati ya last square bracket na first yaani kati ya "[ ] na [ ]" angalia kwa...
  14. Babusa

    Lolooo bahati kwa mtu mwenye shamba

    Umenikumbusha Marehem Baba alituimbia sana huu wimbo Mtu mmoja mwenye shamba alipanda viaazi, Akachimba chimba chini loo! akakuuta almaasi lo lo bahati kwa mtu mwenye shamba!
  15. Babusa

    Wakuu kwa dar wapi ntapata suti nzuri za harusi?

    Jiografia na mahesabu vinagongana hapa, kwa ufahamu wangu hii mitaa iko "parallel haikutani kamwe mfano wa mitaa inayokutana na uliyotaja ni km Km Msimbazi, Kongo, Sikukuu n.k
Back
Top Bottom