Nahitaji kueleweshwa ni vitu gani hasa natakiwa kuwa navyo ili niweze kumiliki blog yangu na mtu yupi ni sahihi wa kunifungulia hiyo blog?
Sent using Jamii Forums mobile app
Klabu bingwa hatua ya Robo fainali kuendelea leo kwa michezo miwili Raja Casablanca atakuwa mwenyeji dhidi ya TP Mazembe mchezo utakaochezwa saa 22:00 usiku.
Mchezo mwingine ni mabingwa watetezi kwa kombe hili Esperance Tunis wao watakuwa wageni dhidi ya Zamalek hapo mjini Cairo game litakuwa...
Unaweza ukajiuliza kweli haya ndio malengo ya klabu ya Yanga kwa msimu huu licha ya kusajili wachezaji wengi wa kimataifa? Mpaka sasa Simba anaongoza ligi kwa point 62 huku Yanga akiwa na point 40 ni gape kubwa lkn kwenye football lolote linaweza kutokea hata wachezaji wa simba sizani kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.