Hiyo huwa IMO tu,
Wife kwanza kasingizia nakula hg,niliwakuta usiku mtoto wa watu kapigwa kavimba balaa.
Natolewa hizo tuhuma nikasema never in my life unamwonea tu huyo mtoto.
Wife akahama nyumbani.
Kaenda kwa dadaake,kuweka mambo sawa nikamfata,
Nikala matusi na dharau kibao.
Naondoka mwanamke...
Kabisa,siku tulipigwa gape na king cross tukamkamata konda akarudisha hela.
Ikabidi kuchukukua alt b,bus mpk mtera lingine hadi dom.
Tukapanda Shalawambe wa IRA wanalijua,libus bovu Renault limeoza.
Tukatimka nao safari ya mtera ikaanza.
Hapo kwenye milima pembeni tu likaharibika.
Sasa wale...
Jokate kahamishwa sijui mara ngapi hadi namwonea huruma.
Kesho yuko korogwe,mala kisarawe mala sijui wapi,mala kwa wamama mala uvccm.
Sasa nashindwa hata kuelewa anafanya kazi saa ngapi?
Wamwache atulie kidogo basi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.