Lazima asemelewe kwa wakubwa anaowaita wafadhiri anapoomba msaada ila akishiba anawaita mabeberu.
Hapa TZ kila chombo kinachoweza kusimamia haki ni tawi la ccm bora vyombo vya kimataifa pia visikie na kujua yanayojiri .
Kuna watu wanajiona wajuaji wakati ni vilaza, mtu kasema ana hotuba hatoisoma kwa ajili ya upuuzi unaendelea mwingine anahoji hoja ccm wamechokwa sana.
Wachawi pekee hawapendi maridhiano, Mbowe amefanya kitu cha maana kwa upande wangu, raisi atajua yeye akubali au akatae. Hata afanye maendeleo kiasi gani akiminya demokrasia na kuonea walio na itikadi tofauti itamsumbua mpaka mauti, na historia itamhukumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.