Recent content by BABU N

  1. B

    JamiiForums Tanzania Hatimae dada mkuu, Lady Jay Dee ni mjamzito

    Inawezekana chips + wine =kitambi Nicholas.
  2. B

    JamiiForums Tanzania Ni mambo gani uliwahi kuona kanisani kwako ya kakuacha mdomo wazi? Mimi kuzikwa mifupa ya mwanzilishi wa kanisa hilo mimbarini

    Shukurani sana na ahsante sana kwa eliminate hii kwa watu wote na yeye mleta Madam.
  3. B

    JamiiForums Tanzania Ni mambo gani uliwahi kuona kanisani kwako ya kakuacha mdomo wazi? Mimi kuzikwa mifupa ya mwanzilishi wa kanisa hilo mimbarini

    Wewe huhitaji msaada wowote wa kutaka kujuwa au kuelimishwa. Kwanza ulitakiwa utaje hilo dhehebu la kikristu unalolizungumzia, pili utaje bimbo na parokia husika na pia ungenukuu maneno mawili matatu au hata zaidi alichosema huyo mc au huyo askofu. Wewe umeleta dharau na kashfa tu kwa dhehebu...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Zifahamu nchi zisizokuwa na rushwa Afrika Mashariki. Tanzania yashika nafasi ya 2

    Unaongelea rushwa ya kiwango gani? Rushwa ndogo ndogo ( unaniachaje mkuu/boss) au ya kuathiri uchumi au ya kuihujumu nchi kiusalama? Au hakuna vipengele vinavyofanana?
  5. B

    JamiiForums Tanzania Nimefanya booking online (SGR) ila sina kitambulisho

    Hakuna mgeni ambaye siyo raia atakayekuwa hana kitambulisho. Ameingiaje hapa nchini? Kwa njia za panda au kwa utaratibu gani?
  6. B

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya ufaulu wa wanafunzi wa kidato cha nne katika shule za kanisa katoliki Tanzania

    Ni taarifa tu kwa wadau wa eliminate,wazazi, walezi, wanafunzi wenyewe waliomaliza elimu hapo na hata ikawa ni tangazo la biashara kwa wanaotaka kujiunga na hizo shule.
  7. B

    JamiiForums Tanzania Rais Trump awapa siku tatu Hamas kuwaachia mateka wanaoshikiliwa

    Ngoja tuone, lisemwalo lipo kama halipo litakuja, ni suala la muda tu.
  8. B

    JamiiForums Tanzania Ukiijua hii Saikolojia na tabia ya Askari Polisi, hawatakusumbua sana

    Uko sahihi sana, kwa kifupi wanasema toa ushirikiano nao na utakuwa mmoja wao fever nyingi watakupatia na hata kukupa msaada wa kuwasiliana na ndugu zako, kupata dhamana kwa wakati bila kuwa na vikwazo au masharti magumu.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Kama Biblia ni kitabu cha kutungwa, nani alikitunga na chanzo na kusudio lake ni nini?

    Naomba kuuliza kidogo, umesema biblia kwa wakristu na msaafu kwa waislamu, kwa waafrika kitabu chao kilipotea kama unavyodai kiliitwaje? Na hakuna hata masalia yaliyobakia hata kurasa mbili tatu zimepatikana scheme tukafanya kama refer ya hicho ulichokiandika kuhusu dining yetu ya kiafrika...
Back
Top Bottom