Mgambo wanapiga mafunzo km wajeda tu ndo maana kuna km maonyesho yalifanyika pwani ya Bagamoyo wagambo walishiriki vizuri tu zoezi na wao ndo jeshi la akiba ndo maana kila mkoa na wilaya kuna wajeda ambao ni washauri wa Mgambo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.