Recent content by babu loliondo

  1. B

    JamiiForums Tanzania Bwana yesu asifiwe, assalam aleykum

    Wakuu Asanteni kwa kunikaribisha, nitakuwa mchoyo wa shukurani kama nitakaa kimya bila kufanya hivi. Tuko pamoja wakuu. Nawakilisha Loliondo na waganga wengine wa dawa za mitishamba huku JF.
  2. B

    JamiiForums Tanzania Ex Mawenzi Sec School-Moshi students tukumbukie enzi zetu

    Mie nilikuwa advance 2001 to 2003 ila akina mama Aly, na JJ Mambo tuliwakuta
  3. B

    JamiiForums Tanzania Bwana yesu asifiwe, assalam aleykum

    Hodi hodi JF, Kwanza niwapongeze kwa kazi nzito mnayoifanya ya kulijenga taifa letu bila kujali tofauti za kiitikadi na nyinginezo. Pili, naomba kuungana nanyi bega kwa bega ili hatimae tuweze kutoa michango yetu juu ya namna gani ya kufikia Tanzania ile ambayo kila mmoja wetu amekuwa...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Ex Mawenzi Sec School-Moshi students tukumbukie enzi zetu

    Hii ni special kwa wale woooote waliosoma Mawenzi Sec School. Tukumbushane story za mama Mkiramweni, Y-Paul, Babu Mashingia, Bibi Matemu (a.k.a balbina) na mama Minja bibi wa O-level. For real hawa watu wali-play a central role katika construction ya future yetu, hivyo kuwakumbuka sio mbaya...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Hali ni mbaya Tarime: Polisi watembeza Mabomu usiku huu; Kina Lissu wakamatwa

    Inabidi hawa polisi waje niwapatie kikombe fasta, hawawezi kuficha maiti za watu. Au wanaenda kuzifanyia ushirikina?
Back
Top Bottom