Hivi, hadi kiungo kipotee mwilini mwa mnyama, inachukua muda gani? na je,kikipotea kwangu, inaweza athiri hadi kizazi changu au kinaambukiza hadi wengine? Je, binadamu wa kipindi hicho alikuwa mmoja au wengi? mikia yao ilipotea katika miili yao kwa wakati mmoja au ilitokea kwa mmoja tu?
katimuliwa kwa kupewa ubunge 😁😁😁. Ukowa sio mfia chama, maisha raha sana.
Fanya kazi mkuu upige pesa sio kutetea wanasiasa, utaonekana mnafiki kama wao tu, shauri zako.
TL anapiga pesa huko saa hizi. Polepole amekuwa mbunge. Wewe bado mpiga zumari tuu.
Mungu akusaidie, akuondoe tongotongo...
Mkuu, wakati tulipokuwa tunawapa ushauri hata kutoa maoni yaliyo na maono, mlitukejeri na kutuona wapinzani wenu. Leo naona msimamo wako km una legalega. Hakuna yoyote anayetutetea kaka. Hata TtL unayemuamini na kumshabikia naye ana angalia tumbo lake ndio maana akaona bora akimbie.
Kweli...
Mkuu Bujibuji nilikuwa nakusikitikia sana, na Mshana, kwa jinsi ulivyokuwa unajitoa ufahamu kama mtoto wa juzi kumbe umeona chaguzi zote toka vyama vingi vilipoanza. Mkuu wewe hujui drama za wana siasa kaka?
Pole sana, ndio maisha lakini, acha yaendelee. Possible kuna mikakati imepangwa na cdm...
All in all, ongea yote, kinachoffanyika ni kulinda uchumi wa nchi yetu.
Lau kana ungekuwa unayajua wanayofanya dhidi ya tz, wala usingewatetea. Ndio maana katika yote, niliyo andika, hakuna hata moja ulilopinga au kulitolea ufafanuzi.
Mfano, ishu ya covid, utalii na ndege. Hapo ugusi zaidi ya...
Sitatukana au kukejeri kama wewe.
Nimekutolea mifano ya namna ambayo Wakenya wanavyozingua katika uchumi wetu. Haitaji degree katika hili. Ni mtu mvivu na mwenye chuki kwa serikali hii ndio anaweza kutoa matamshi kama wewe. Ni ukweli ulio wazi Wakenya ni wazinguaji sana.
Wiki kamasita nyuma niliitwa Mt. Kilimanjaro kufanya kazi fulani hivi, kilikuwa kipindi cha kuzima moto. Actual watalii walikuwa wanapanda kama kawaida na hakukuwa na hatari yoyote kwa watalii. Ila media za kenya zilivumisha dunia mzima kuwa K'njaro inaungua na imefungwa coz sio salama...
Wahindi, Wazungu, Wamisri au Wanepal si washindani wetu kibiashara. Katika mataifa hayo, taifa linaloongoza hasa watu wake kutuharibia biashara ni Wakenya. Rejea Covid, Mlima Kilimanjaro, utalii, Ndege, n.k.
Wakenya wengi wanakuja kuua biashara zetu kwa kuyumbisha na kutoa siri muhimu za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.