Recent content by babu kavu

  1. babu kavu

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    kaka ungetumia kiswahili tungepata faida nyingi zaidi maana tungeelewa kiundani hasa
  2. babu kavu

    Jinsi ya kufungua codes za SIRI zilizoandikwa katika kitabu kiitwacho Biblia/ Neno la Mungu

    ila ,dah!kwa hiyo lugha ya kunena hafundishwi mtu?huwa inakuja tu automatic?..sio wanapandisha mapepo halfu wanaongea maneno yasiyoeleweka halfu mnasema roho mtakatifu ameshuka...Mimi akili yangu haujaona ukweli wa hili natamani mtu aniaminishe kwa uwazi kuwa sio mapepo bali roho mtakatifu?na...
  3. babu kavu

    Tupunguze ujuaji kwenye mambo ya mikataba

    [emoji1666]
  4. babu kavu

    Kiburi, Dharau na Ujeuri wa Yanga SC ipo Siku utawagharimu, watajuta na kukosa wa kuwatetea

    huwa nawashangaa Sana watu wanaowakosoa Yanga na Hizi issue za kimikataba,HIVI MNAHISI HADI YANGA WANAAMUA KUFANYA HAYO MAAMUZI WALIKURUPUKA!?INA MAANA WAO WANAPENDA KUKOSA DEALS!?HAWAJUI VIPENGELE WALIVYOKUBALIANA!? HAWAJUI KAMA WAKIKOSEA ITAWAGHARIMU PAKUBWA? ACHENI HAYA MAMBO, KWA NINI...
  5. babu kavu

    Vijana mnaofuga ndevu hamna pesa

    Mimi ninachofahamu wanaoishi ndani ya mifumo huwa lazima wafuate taratibu za mfumo(system) na wanatengenezwa ki(uniform) halfu Kuna wanaume wameamua kuishi maisha yao vile wanataka aidha upende ama usipende,kuwa na Afro ama ndevu ni ishara ya uhuru,ishara ya kufanya unachotaka ,ishara ya...
  6. babu kavu

    Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    sahihi kabisa ni mchanganyiko TU WA mafile [emoji16][emoji16]
  7. babu kavu

    Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    Hii story ya illuminati Kuna jamaa yangu aliwahi kunisimulia na kitabu aliniambia kinaitwa demons and angel ambacho kilielezea story nzima ya kuanzishwa kwa illuminati mpka kujiingiza ndani ya freemason..ni humo humo alimopita Athena. Uko well detailed
  8. babu kavu

    Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    asije akapigiwa simu ya dharula[emoji16][emoji16]naona bdo Roma kula mzigo
  9. babu kavu

    Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    hii 3000 inakuwa kwa kila nikihitaji muendelezo ama nikilipa nimelipa!?ama napata katika namna gani muendelezo wa hii hadithi!?
  10. babu kavu

    Polisi wathibitisha Katibu wa Masanja kajinyonga. Mke wa Masanja alienda kwake kumuonya asiwe anamtumia meseji za mapenzi

    tafuta msg za mchizi kabla hajafa ndio utaelewa Kama alikula tayari au alikuwa anaomba,wanajaribu kufunika
  11. babu kavu

    Polisi wathibitisha Katibu wa Masanja kajinyonga. Mke wa Masanja alienda kwake kumuonya asiwe anamtumia meseji za mapenzi

    Hawa wa kipare hatari [emoji16][emoji16]wanapenda dudu haaao na hawalichoki,huwa najiuliza sijui wanalishwaga nini kuwa hivi
  12. babu kavu

    Polisi wathibitisha Katibu wa Masanja kajinyonga. Mke wa Masanja alienda kwake kumuonya asiwe anamtumia meseji za mapenzi

    uwanaume sio kumsamehe mkeo aliyeto** nje hlfu huyo aliyejilia anajinadi kwa penzi tamu alilopewa..Kijana usiwe mzembe mzembe
  13. babu kavu

    Ushauri wa kibaharia

    anko Kama anko[emoji16][emoji16]
Back
Top Bottom