Hahahaha,
Wana mambo sana hawa watu.
Muwekee choo hapo hatumii tena anakushangaa inakuwaje unajisaidia ndani ya nyumba wakati huko ndani ni kwa kulala.
Hukawii kumkuta kalala chooni
Sasa hivi ndiyo ubepari umepewa mpini na haelewi hilo.
Aliyenacho atabaki nacho na asiyenacho atazidi kuwa hoi zaidi.
Jaribu kufungua kijibiashara leo kama utaweza
Mgonjwa kashasema wewe unaficha hela ndani sasa ni kubadilisha hela tu ili hizo za kwako ziozee humo ndani.
Lkn TRA tunavuka malengo haswa.
Ni akili za mgonjwa tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.