tatizo, wanajikaanga kwa mafuta yao wenyewe, kwa nini hawakupinga wa2 ambao si wakazi wa dodoma wasijiandikishe huko.? Boa la mkono limegunduliwa na mmzidiwa ujanja, mfia majiji.............
Nani amemkimbia chama, na alipokimbia alileta madhara gani. Lowasa na duni wameshndwa kuelewana ktk lip? acha uongo. Utawajua tu kazi yao ni kututukana, kusema uongo, kupiga push up na kuruka vichura badala ya kuuza sera
Saf sana mleta mada umefikiria nakuona yalyo nyuwa ya pazia, kumbe ni kwel
1. ridhiwani alikamatwa china na babake alisafir ucku mpaka china kumtoa
2.kumbe 2010 ccm waliingiza kontena la kura ya wiz kule mtwara n.k
haya yanaukwel kama maguful amethibitisha kuwa slaa ni msema kweli
Tuliambiwa tujiandikishe vyuoni na kura tutapiga popote, tcu ikatoa tamko kuwa vyuo vyote vitafunguliwa baada ya uchaguzi mkuu, lakini tunasikitika nec kutangaza kuwa kila m2 atapiga kura pale alipojiandikisha. kumbuka tumeandikishwa vyuoni na vyuo vitafunguliwa baada ya uchaguzi, naombeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.