Usikate tamaa wng omba mungu utafanikiwa cku yako ikifika .....mm nilisoma course hiyo hiyo ila ngazi ya bachelor bt now nimeajiriwa niko wizara ya mambo ya Ndani ......muhim ufanye volunteers kwenye taasisi za serekali au company binafsi unaweza kufanikiwa.....
Sent from my TECNO-J8 using...
Daaaaah kwa apo ushauri wangu ucache kazi kama huna means ya kupata nyengn, coz kazi za private usumbufu wake ni huo hata uende wapi wao wanataka good profit cyo kuangalia maslahi ya mtumishi, cha muhim vumiliya hapo hapo hadi ukipata government, ndiyo utaondoka coz hata mm niliwahi kufanya...
Daaaahh mshkaji jaribu kujielewa kwanza kwamba no one perfect except God, muhim ni kukaa chini na kusolve problem ya mpenzi wako bila ya kuja huku............... . .....
Ni uvumilivu tuuu, nafasi zitatoka coz short list ya majina bado ila nimesikia kuajiriwa kwenye novemba mtaajiriwa.......Daah vumiliya tuu wng hata mm nilivumilia sana hadi mwaka jana ndiyo niliajiriwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.