Ndugu wana Jamii !!!!
Hebu nisaidieni ki unongozi hapo imekaa vipi hiii statement ya rais alipomwambia kamshna wa maadili (sipokeee document yoyote kwa viongozi wa uma ifikapo tarehe 31 Dec 2017) hii ilikua kamisna lazima apate maelekezo ya mkuu wa nchi au kamishnani ni mweledi wa kazi zake...
Habarini wana Jamii
Nimeliona hili la CCM kununua wapinzani (naamini CCM inanunua wapinzani) kwa uchambuzi wangu naona kuwa CCM ni chachu ya ukuzaji wa vipaji wa chipkizi wa wapinzani, hapa nina maana kuwa wapinzani wanao nunuliwa ni taka taka ambazo ziko upinzani zinatoka kwa maana wapinzani...
Who knows kama hajanunuliwa kwa milioni mbili, hasa kwa hiii slog ya kuunga mkoni juhudi za kumuunga mkono Magu are serious, by the way ni haki yake ki katiba
nchi za wenzetu kuna policy ya In Country Value, kwa hiyo any project lazima kutizama uzalishaji wa ndani kama hakuna unaweza kuagizia nchi za nje, nchi inataliwa iwe na standard sasa kitu hicho kinakosekanwa kwenye nchi yetu, kila kiongozi anajifanyia yeye mwenyewe apendavyo haendi na standard...
Watanzania wengi waliumia sana walipoona bunge live limesitishwa kwa sababu lukuki ziso za msingi ila kwa mimi nasema kheri hutokana ndani ya tumbo la shari sasa zile live coverage zimekua diverted kutoka kwenye bunge mpaka hafla rais, katika shughuli zote rasmi rais amekua akionyeshwa mubashara...
mchapa kazi ni makonda na kashaambiwa achape kazi ila wengine wakabidhi office haraka, anahisi hawajui wajibu wao akiondolewa kwenye position,
Hii ni alert kwa wanao chaguliwa katika teuzi kuwa makini, he is not charismatic leader
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.